Erickb52
JF-Expert Member
- Oct 31, 2010
- 18,539
- 11,442
Hahahaaahahaaa...mm mzee wa post paid...nalipa baada ya mwaka!
Utashangaa utapigwa BANN bar Lol
itakuwa mpya ya mwaka kusikia "BAGAH APIGWA BANN BAR"
Hahahaaahahaaa...mm mzee wa post paid...nalipa baada ya mwaka!
usicheze na ndovu...na mdudu...uwiii
nimesahau...niko na Amy...LOL
Hata hivyo najua uko na Kongosho na Nitonye ndo wamekutoa Out Hahahahaa wakiitwa na wake zao ndo na wewe mwisho wako wa kunywamm sio mlevi...nakunywa tu!
nimesahau...niko na Amy...LOL
afu mdudu sio mzuri kila siku
analeta kitambi ambacho utakosa mke
kitambi kinatokeza chini ya manyonyo afu sehemu za kitovu tumbo dogooo
afu mikono na miguu myembamba kama mpini wa jembe!
Unataka mtu ajirushe gorofani wewe
leo sijui kama SL atanifungulia mlango kama vipi nitalala huku huku
mie niko hapa sisimizi
kuna mdudu mzuri
Kweli jamaa ana utani mbaya......
Teh leo itabidi uje kwangu ntakuhifadhi tu usijali
nimesahau...niko na Amy...LOL
Dogo una Tembo card master Card nikuletee mshirika hapo?
Mbona unamrusha roho ricky jamani..
leo sijui kama SL atanifungulia mlango kama vipi nitalala huku huku