We umenigeuka aisee....ila poa tushayamaliza
ivi nani amesema anataka kulala mapema
kazi nyingi bro,we acha tu.Nakupenda na nimekumic sana,mpe hye wifi yangu hapo.
Pole ungekuwa kule kwetu ungekunywa hata togwa
ericky,nitonye...gamba...amy...kaby...mmeenda wapi?mana naona ratio inakubali asee...!LOL...nimejikuta savanah...imebambaje?
Nitonye anajua DENGELUA...haha...togwa si anasa kwake!..ni kama amarula!
cool!jenga heshima hapo...sio kupeana migongo...af ww utakuja kujirusha ukiwa mzee ericky...nimekushtukia.
mpe siti huyo...Gamba umekesha asee...