Nimeanza tena kuvuta bangi

Nimeanza tena kuvuta bangi

ganja haifai jichunguze mara mbili lazima utagundua kuna vitu una act like mwehu mwehu always wavuta bangi hawako normal yaan fanya reseach!!!
 
Unataka kuwa km "wiz-khalifa" sio???? Play the game.
 
Ganja siyo nzuri, mara nyingi wavutaji huwa hawana maendeleo mazuri. Nashukuru Mungu wafanya maamuzi wetu hawatumii hii kitu.
 
Tatizo ndilo hilo.. Mnakimbilia kujaribu ku-justify uvutaji wa bangi na ulevi wa pombe..

Ni hivii.. Mie ninawafahamu wahanga wengi wa ulevi huu wa bangi.. Na wengine ni ndugu na jamaa kabisa wa karibu.. Wamelipuka na kuwa machizi kabisa.. So if u ask me nitakuambia kwa ushahidi kabisa niliouona kwamba bangi itakuwehusha tu.. Sio lazima ndani ya muda fulani.. Inaweza kupita hata miaka 10.. Lakini lazima itakuweuha tu..

Wewe endelea kuvuta.. Its ur choice..

Bangi inaua cell moja moja ya ubongo hivyo ni suala la muda tu kama mkuu ulivyosema mtu kuehuka.Wehu uko pale pale it just a matter of time
 
Mh aise NZELANdo weweeeeeeeeeeeee,ganja a.k.a bangi ni hatari,utaongeza ajira za [COROL=red]mirembe[/COLOR] Kuleeeee,bangi inaweza kusababisha ukichaa aise.
 
Last edited by a moderator:
Ganja siyo nzuri, mara nyingi wavutaji huwa hawana maendeleo mazuri. Nashukuru Mungu wafanya maamuzi wetu hawatumii hii kitu.

Wafanya maamuzi wetu wangekuwa wanavuta bangi tungekuwa mbali sana kimaendeleo, badala yake ni walevi na wazinzi ndio maana leo mko hapa.

Bangi hukufanya ufikiri, hukufanya uhoji vipengele vya maisha kwa mtazamo tofauti na zaidi bangi hukurejesha nyumbani, na mawazo ya ukombozi.

Wapigania uhuru karibu wote unaowajua walikuwa wanajiuguza, ila watawala wenu wamekalia zinaa na pombe. Unaona tofauti?
 
Ganja siyo nzuri, mara nyingi wavutaji huwa hawana maendeleo mazuri. Nashukuru Mungu wafanya maamuzi wetu hawatumii hii kitu.

I used to think the same too! baadaye nilivyokua na kukutana, kufahamiana, kuzoweana na watu mbalimbali tunaosema wana heshima yao katika jamii niligundua mambo mengi sana. Hao tunaowapigia mifano barabarani kwenye vijiwe vyao kama ndiyo wanaakisi character za kivuta bangi kumbe ni tabia zao tu, mtu mpumbavu hata akinywa beer mbili atadhihirisha upumbav wake! sijawahi hata kunusa bangi, lakini siwezi kumlaumu mtu anayetumia bangi, kama anaiweza...kuna watu wengi sana wenye heshima zao wanatumia bangi kimyakimya wala huwezi kumjua, ni starehe yao....na kama haina madhara kwa afya zao mi sioni tatizo.
 
Wafanya maamuzi wetu wangekuwa wanavuta bangi tungekuwa mbali sana kimaendeleo, badala yake ni walevi na wazinzi ndio maana leo mko hapa.

Bangi hukufanya ufikiri, hukufanya uhoji vipengele vya maisha kwa mtazamo tofauti na zaidi bangi hukurejesha nyumbani, na mawazo ya ukombozi.

Wapigania uhuru karibu wote unaowajua walikuwa wanajiuguza, ila watawala wenu wamekalia zinaa na pombe. Unaona tofauti?

Once bob Marley said.how could a plant created by God made illegal by Human being
 
ili iwe nzuri, ilaze kwenye shimo la choo wiki moja ndipo uvute
 
Naam siku kama ya leo tulipoteza mjumbe muhimu toka kwa Mungu.
Alijitahidi kuhubiri kupitia muziki wa reggae kadiri Roho wa
Mungu alivyomuongoza.
Roho huyo yuko ndani ya Bangi.

Hii sasa ni kufru.
 
Bangi tamu we puliza tu, mwenyewe namalizia misokoto yangu hapa, pulizaa pulizaaaa
 
Back
Top Bottom