Nimeanza tena kuvuta bangi

Nimeanza tena kuvuta bangi

...atakuwa mwana ccm huyu ana presha za uchaguzi...
 
ni vizuri ukaanza kutumia petroli maana imepungua bei!
bange inafaa sana hasa unapovutia chooni ukiwa uchi!
 
Tatizo ndilo hilo.. Mnakimbilia kujaribu ku-justify uvutaji wa bangi na ulevi wa pombe..

Ni hivii.. Mie ninawafahamu wahanga wengi wa ulevi huu wa bangi.. Na wengine ni ndugu na jamaa kabisa wa karibu.. Wamelipuka na kuwa machizi kabisa.. So if u ask me nitakuambia kwa ushahidi kabisa niliouona kwamba bangi itakuwehusha tu.. Sio lazima ndani ya muda fulani.. Inaweza kupita hata miaka 10.. Lakini lazima itakuweuha tu..

Wewe endelea kuvuta.. Its ur choice..
Kila kitu kina taratibu zake
mfano.
Pombe kali ukinywa bila kula utakufa
na Bange
ina taratibu zake
1.kuamka alfajiri na kusali kabla ya watu wengine wa eneo lako kuamka.
2.mazoezi
3.kula mboga za majani kwa wingi
4.matunda
5.kunywa maji mengi sana
6.kutuliza akili na kusoma sana hasa maandiko ya amani.
(muelekeze nduguyo atapona)
 
dah huu uzi umenikuta mahala pake.. nko hapa big brother kwa father Joker nakula kitu. jah never die if die never decay if decay will perfume.... hapo ofini secretari ashapiga simu saaaana naichek tu.. Tukishika dola tunahalalisha
 
Unabembea tu chumba kimoko unakiita ikulu. Mamamkwe unamwita demu wako eti?
 
Marijuana, ganja, bangi, cannabis, stick, high, grass, enjagga, is AN ADDICTIVE SUBSTANCE.
 
Back
Top Bottom