Nimeanza tena kuvuta bangi

Nimeanza tena kuvuta bangi

Vutaaaa vutaaa msela mpaka akili na mapufu vicorrupt
 
“Honestly I feel like drugs are the only thing that make me feel happy. Even if it is just a false sense of happiness”
 
Hahaha naona anawakilisha skukuu ya kiongoz wa wavuga bangs Bob Marley
Naam siku kama ya leo tulipoteza mjumbe muhimu toka kwa Mungu.
Alijitahidi kuhubiri kupitia muziki wa reggae kadiri Roho wa
Mungu alivyomuongoza.
Roho huyo yuko ndani ya Bangi.
 
One love man, kaya man, Jah people. Hizo bange zinawafanya mjione mko Ulaya kumbe hata nauli ya daladala hakuna mfukoni.
 
one love man, kaya man, jah people. Hizo bange zinawafanya mjione mko ulaya kumbe hata nauli ya daladala hakuna mfukoni.
si kwa wote mkuu
inategemea unaimbilizia nini.
Mie babu yangu mpaka leo anavuta
na anapiga jembe balaa
umri wake miaka 98.
Lakini mnywa bia,hawezi kufanya hayo.
 
ni vizuri umeamua kuweka wazi ili utakapowehuka ndugu zako wasipate tabu ya kwenda kwa mganga kupiga ramli ya nani aliekuloga ukawehuka..
bangi inasingiziwa ubaya
je? Ni WALEVI wangapi husababisha vifo?
na breweries hakuna anaeipiga madongo?
 
si kwa wote mkuu
inategemea unaimbilizia nini.
Mie babu yangu mpaka leo anavuta
na anapiga jembe balaa
umri wake miaka 98.
Lakini mnywa bia,hawezi kufanya hayo.

Yaaaah man...... are you feeling Haile?
 
bangi inasingiziwa ubaya
je? Ni WALEVI wangapi husababisha vifo?
na breweries hakuna anaeipiga madongo?

Tatizo ndilo hilo.. Mnakimbilia kujaribu ku-justify uvutaji wa bangi na ulevi wa pombe..

Ni hivii.. Mie ninawafahamu wahanga wengi wa ulevi huu wa bangi.. Na wengine ni ndugu na jamaa kabisa wa karibu.. Wamelipuka na kuwa machizi kabisa.. So if u ask me nitakuambia kwa ushahidi kabisa niliouona kwamba bangi itakuwehusha tu.. Sio lazima ndani ya muda fulani.. Inaweza kupita hata miaka 10.. Lakini lazima itakuweuha tu..

Wewe endelea kuvuta.. Its ur choice..
 
Dah,Mkuu nzalendo nakuonea wivu ile kichizi yaani,hapo ukiongezea na mapowder mambo yanakuwa murua kabisa,yaani mambo yako yote yananyoka kabisa bila chenga. Tupo pamoja Mkuu.
 
not u who's speaking, but "it's lucifer" inside you and all who comment positively are poor brain so u need deliverance from god.
you are the one who need to be delivered.
Since yo do not know the wisdom inside ''cannabis sativa''
....just emancipate yourself from mental slavery......from white man's religion.
Peace upon you.
 
Back
Top Bottom