Nimeanza tena kuvuta bangi

Nimeanza tena kuvuta bangi

Kila kitu kina taratibu zake
mfano.
Pombe kali ukinywa bila kula utakufa
na Bange
ina taratibu zake
1.kuamka alfajiri na kusali kabla ya watu wengine wa eneo lako kuamka.
2.mazoezi
3.kula mboga za majani kwa wingi
4.matunda
5.kunywa maji mengi sana
6.kutuliza akili na kusoma sana hasa maandiko ya amani.
(muelekeze nduguyo atapona)

Utawehuka tuu.. Na utakuja ipa shida familia yako kwa tatizo ulilolitengeneza wewe mwenyewe..
 
Ukivuta bangi unakuwa na peace of mind Hewa na high hopes hewa! Inakutoa kwenye reality ya maisha na kukuingiza kwenye ulimwengu wa ndoto za maisha hewa zisizokuwepo! ukivuta waweza kuhisi na kujiona uko Ugiriki wakati umekaa kwenye dimbi la maji ya mvua kubwa iliyonyesha buguruni kwa kibengele.

Ulivyovuta ndiyo ukawa unaona mambo hayo? Au story za mitaani?
 
Leo ndo maadhimisho ya bob marley ok haya endeleeni
 
marijuana, ganja, bangi, cannabis, stick, high, grass, enjagga, is an addictive substance.
''the matter is the usage''
even chloro quine can kill although
it is made for malaria treatment.
 
Ukivuta bangi unakuwa na peace of mind Hewa na high hopes hewa! Inakutoa kwenye reality ya maisha na kukuingiza kwenye ulimwengu wa ndoto za maisha hewa zisizokuwepo! ukivuta waweza kuhisi na kujiona uko Ugiriki wakati umekaa kwenye dimbi la maji ya mvua kubwa iliyonyesha buguruni kwa kibengele.


uliwai kuvuta na ukajisikia hivo? au unaleta story za wazee wanaokatazia watotowao wasivute weed! na kutoa visingizio ambavyo havina kichwa wala miguu"
 
Hongera sana. You are such a wonderful man. Would you try cocaine?
 
Back
Top Bottom