We jifarague tukutupie jini Kisirani... Kulikuwa hakuna haja ya kujifunza shirk ungetafta mtu akusomee upate Maruhani! Yatakusaidia
Ukianza kozi ya kuruka na ungo,pita nao pale Kawe uwanja wa Tanganyika Packers
1. Una mpango wa kuchukua cheti, diploma, shahada au level ipi?
2. Baada ya kuhitimu una mpango wa kusaidia wengine?
3. Sifa za kujiunga kwa huyo mwalimu ni zipi?
4. Mtu anaweza kuchukua kozi fupi mfano ya urubani wa fastjet za usiku tu?
5.Utaratibu wa malipo upoje? Na ni malipo ya namna gani?
Ni haya tu kwa sasa.
We jifarague tukutupie jini Kisirani... Kulikuwa hakuna haja ya kujifunza shirk ungetafta mtu akusomee upate Maruhani! Yatakusaidia
kama umemquote Nyerere alimaanisha papuchi
Una kifua nikwambie kitu?
Likud sio mkaka.....Samahani KAKA MCHAWI naomba ku comment ila usiniloge.
Baada ya jitiada za muda mrefu kidogo hatimaye nimefanikiwa kumpata mwalimu wa uchawi. Nimeanza kusoma wiki mbili zilizo pita. Lengo langu ni kuzijua vyema siri za adui shetani ili niweze kuwasaidia watanzania wenzangu, kujua njia mbalimbali za kukabiliana naye....Sun Tsu said"know thy enemy as you know yourself and in a thousand battles you willnever be in jeopardy." Kwa hizi wiki mbili za kujifunza uchawi, nimegundua kuna uchafu mwingi sana kwenye uchawi..
1. Una mpango wa kuchukua cheti, diploma, shahada au level ipi?
2. Baada ya kuhitimu una mpango wa kusaidia wengine?
3. Sifa za kujiunga kwa huyo mwalimu ni zipi?
4. Mtu anaweza kuchukua kozi fupi mfano ya urubani wa fastjet za usiku tu?
5.Utaratibu wa malipo upoje? Na ni malipo ya namna gani?
Ni haya tu kwa sasa.
Baada ya jitiada za muda mrefu kidogo hatimaye nimefanikiwa kumpata mwalimu wa uchawi. Nimeanza kusoma wiki mbili zilizo pita. Lengo langu ni kuzijua vyema siri za adui shetani ili niweze kuwasaidia watanzania wenzangu, kujua njia mbalimbali za kukabiliana naye....Sun Tsu said"know thy enemy as you know yourself and in a thousand battles you willnever be in jeopardy." Kwa hizi wiki mbili za kujifunza uchawi, nimegundua kuna uchafu mwingi sana kwenye uchawi..