Shadow7
JF-Expert Member
- Sep 28, 2020
- 33,737
- 55,390
HahahaNdio hivyo, naona ni complex kaka, au kwa sababu ni mara yangu ya kwanza kutongoza na kujihusisha na dating!
HahahaNdio hivyo, naona ni complex kaka, au kwa sababu ni mara yangu ya kwanza kutongoza na kujihusisha na dating!
Vunga basi uache kuomba ushauri kwa jambo ambalo umeshaliacha lipiteSidhani kama atapokea, anaonekana bado mshamba mshamba, halafu mimi sina pesa ya kuchezea hivyo. Sio mpenzi wangu, sasa pesa ya nini?
achan nae bwana mbususu zipo nyingi sana. alafu hapo shida ni ndalama tuu hamna kingine.Habarini! Kuna msichana nilimtupia voko wiki chache zilizopita, tulikuwa tuna-chat na alionesha kuanza kunielewa. Sasa jana usiku kanitumia hiyo text, kuna mtu mwenye experience na hili? Mimi nipo chuo kikuu na yeye pia yupo chuo kikuu.
"My love kajua n mm sihitj nimuache ndy kila kitu kwang please mm sitk mahusihn n ww ten nielew tuu hvy saw n sihitj uniulz kw nn uwe n maish yako mema"
Naombeni maoni yenu katika hili, nimpotezee au niendelee? Pia mtu wake kanitisha sana!
Sijafeli bado😀Umefeli sana shemela
Technical sioni tofauti hapoSawa kaka, ila nashukuru sijakataliwa, bali kasema ukweli.
Umri sahihi huo we kaza tu maua yapo mengiAhsante kaka, ila mimi nina 23 yrs, inakuwaje mapema sasa? Na sijawahi ku-date, hii ingekuwa mara yangu ya kwanza.
Kwa huo uandishi tu kama ndio namna yake ya uandishi siwezi kumfanya hata awe rafiki yangu wa kawaida achilia mbali kuwa mpenzi wangu.Habarini! Kuna msichana nilimtupia voko wiki chache zilizopita, tulikuwa tuna-chat na alionesha kuanza kunielewa. Sasa jana usiku kanitumia hiyo text, kuna mtu mwenye experience na hili? Mimi nipo chuo kikuu na yeye pia yupo chuo kikuu.
"My love kajua n mm sihitj nimuache ndy kila kitu kwang please mm sitk mahusihn n ww ten nielew tuu hvy saw n sihitj uniulz kw nn uwe n maish yako mema"
Naombeni maoni yenu katika hili, nimpotezee au niendelee? Pia mtu wake kanitisha sana!
Maua? Maua gani kaka?Umri sahihi huo we kaza tu maua yapo mengi
Hahahah tulikuwa tuna-chat kwa msg za kawaida, ndiyo maana akaandika kwa kifupi hivyo.Kwa huo uandishi tu kama ndio namna yake ya uandishi siwezi kumfanya hata awe rafiki yangu wa kawaida achilia mbali kuwa mpenzi wangu.
I hate people who embrace stupidity.
Technical? Ila ana mtu wake, pia ni mlokole huyo demu. Ulitaka anijibu vipi? Au anitukane?Technical sioni tofauti hapo
How?Temana nae mzee, usijeingia vibaya ukayachukia mapenz.
23 yrs old sijakua?mambo mengine muwe mnasubiri mkue kue kwanza...
Namaanisha windo umekosa tafuta lengine haijalishi umelikosa vipiTechnical? Ila ana mtu wake, pia ni mlokole huyo demu. Ulitaka anijibu vipi? Au anitukane?
Sawa kaka!Namaanisha windo umekosa tafuta lengine haijalishi umelikosa vipi


Mi enzi naanzaga kuwatongoza huwa sifatilii mmoja nilikuwa nafatilia wengi ..unakuta mpka mwisho sikosi wawili au watatuSawa kaka!![]()


Namaanisha kua kama ukilazimisha kua na huyo manzi wakat ana mtu wake na ashakwambia, mtaanza kulumbana na uyo mtu wake, na yeye kuna mtu atakua anampenda kati yenu eidha wewe au huyo jamaa. Na kama sio wewe basi utaumia tu mkuu.How?
95/100 excellentNdio ujinga wa maisha, Ukiwa Chuo watoto wanakua wakali balaa halafu unakua na "appetite" sana sema unakua huna "cash"!
Ukiwa Mtaani unakua na cash ila sasa unakua huna muda, huna appetite, una majukumu! Dah unakua unapishana na fursa!
hata wendawazimu wanaongezeka miaka kiongozi, kua kua kiakili kwanza...23 yrs old sijakua?
Nikue vipi kaka? Nifafanulie!hata wendawazimu wanaongezeka miaka kiongozi, kua kua kiakili kwanza...