Mkulungwa01
JF-Expert Member
- Jul 14, 2021
- 3,979
- 5,295
- Thread starter
- #201
I think huwa anapekua simu yake!ilikuwaje mpaka mshikaji wake akajua?
I think huwa anapekua simu yake!ilikuwaje mpaka mshikaji wake akajua?
Sasa hapo si atakuwa kanipendea pesa? Huo sio upendi, pia mtu wake wamedumu kwa miaka 2 now, wametoka mbali.Huyo mrembo ameshapima upepo ameona kwako huna lolote,
Kaamua kwenda kwa msela mwingine.
Kama bado unamtaka na unataka abadili mawazo.
Muandikie hivi!!!
OK
,,naheshimu maamuzi yako,
japokuwa wewe ndy mwanamke wa ndoto yangu.
Ningekutunza na kukujali vyema..
Siku yeyote ukihitaji kuwa na mm still nafasi ipo wazi..
Utabaki moyoni mwangu daima.
Ukimsindikiza na 200,0000/ kwenye muamala wake wa simu..
Tatizo lenu ubahili mwingi,,kubinuwa midomo kwa sana..
Lazima uachwe..
Hakuna siagi ngumu mbele ya kikaango cha moto.
Mbinu za kibaharia hizi ,,hata mke wa mtu unabeba..
Ahsante kaka!Jifunze kuwa na maamuzi magumu. Usiigize bali kuwa na maamuzi magumu.
Daaaah!Mtumie hela kupitia huduma za simu, na hata huyo mtu wake alikutisha pia mtumie hela kwenye simu yake, baada ya hapo kila kitu kitakua sawa
Akinitafuta nimkubalie?Potezea mkuu lakini jiandae huyo ni mpenzi wako wa baadae, atakuja mwenyewe wala usioneshe shobo yoyote kwake. Jifanye kama hamjuani, baada ya miezi kadaa utaona sms yake au simu akikutafuta mwenyewe.
Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app