Nimeandikiwa msg hii!

Nimeandikiwa msg hii!

Mmmh sidhani, sasa kwa nini unasema nisisahau condom wakati umesema mimi bado mdogo na sijajua maisha?
Una mihemko ya kimwili. Bado hujapevuka kiakili. Hujui namna ya kuhandle mambo. Busara ni kutulia na kuusoma mchezo. Na kama unashindwa kujizuia basi angalau tumia kinga.
 
Mkuu, "age is just a number" tu...
Ili kumudu vizuri mahusiano inahitaji vitu vikuu vitatu

1: Biological maturity ( age): ambayo kwa wewe tayari umefikia....

2: Emotional maturity, hii kitu ni muhimu sana inakusudia ku-handkle vitu kama dissapontiment, break up, na nk.....

3: intellectual maturity, pia ni muhimu sana. hapa namaanisha elimu nzima ya mahusiano utakusaidia kujua wapi, kwanini muda gani, na kwa nani unatakiwa kuwajibika.....

Soma sana vitabu kujifunza mkuu na siku zote kumbuka
"Love doesn't keep people together but its knowledge"

Respect............
Good after noon boss. Need we say more?
 
Hujawahi kudate??
Kama ana mchizi wake na wanakuandama wote temana nae tu. Haina haja ya kugombania manzi na wapo wengi tu kitaa.
Yaani mchizi wake kanitishia baada ya kugundua, kani-text msg ya vitisho. Demu kwa wakati wake naye akaniandikia huo ujumbe, baada ya mchizi kunitumia wake kwa number ya demu wake.
 
Habarini! Kuna msichana nilimtupia voko wiki chache zilizopita, tulikuwa tuna-chat na alionesha kuanza kunielewa. Sasa jana usiku kanitumia hiyo text, kuna mtu mwenye experience na hili? Mimi nipo chuo kikuu na yeye pia yupo chuo kikuu.





"My love kajua n mm sihitj nimuache ndy kila kitu kwang please mm sitk mahusihn n ww ten nielew tuu hvy saw n sihitj uniulz kw nn uwe n maish yako mema"


Naombeni maoni yenu katika hili, nimpotezee au niendelee? Pia mtu wake kanitisha sana!
Fanya hivi mludishie hiyo sms kama alivyo ituma bila kuongeza kitu wala kupunguza kitu,kisha piga pini no,zake zote halafu baada ya hapo futa kabisa na uwe kalibu na mungu wako zaidi kwa msaada wa imani yako,na endelea na maisha yako.N.B kama una picha zake futa kabisa.
 
Kwa kingereza ni hapana. Na hakuna cha mtaani kwa hivyo kwa English. Accept that.
Sio kuwa nakupinga, ila niliki-note somewhere, na aliyeongea alikuwa actor. Kwa hiyo nikakichukua kama kilivyo, so ninaamini ni cha mtaani. Maybe jamaa niliyem-note hakuwa sahihi, nakubali.
 
Yaani mchizi wake kanitishia baada ya kugundua, kani-text msg ya vitisho. Demu kwa wakati wake naye akaniandikia huo ujumbe, baada ya mchizi kunitumia wake kwa number ya demu wake.
Temana nae mzee, usijeingia vibaya ukayachukia mapenz.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom