Nimeandikiwa msg hii!

Nimeandikiwa msg hii!

Yaani mchizi wake kanitishia baada ya kugundua, kani-text msg ya vitisho. Demu kwa wakati wake naye akaniandikia huo ujumbe, baada ya mchizi kunitumia wake kwa number ya demu wake.
ilikuwaje mpaka mshikaji wake akajua?
 
Ngoja umalize chuo ndio utauona uhalisia wa maisha. Sasa hivi hauwezi kuona mana kuna boom! Subiri tu! Muda utaongea.

Hauwezi kukuta kijana mpambanaji anauliza swali kama hilo!
 
Habarini!

Kuna msichana nilimtupia voko wiki chache zilizopita, tulikuwa tuna-chat na alionesha kuanza kunielewa. Sasa jana usiku kanitumia hiyo text, kuna mtu mwenye experience na hili? Mimi nipo chuo kikuu na yeye pia yupo chuo kikuu.

"My love kajua n mm sihitj nimuache ndy kila kitu kwang please mm sitk mahusihn n ww ten nielew tuu hvy saw n sihitj uniulz kw nn uwe n maish yako mema"

Naombeni maoni yenu katika hili, nimpotezee au niendelee? Pia mtu wake kanitisha sana!
Acha ujinga ndugu,jambo hili ni la kuja kuuliza huku katika dunia hii ya wanawake wengi wasio kataa wanaume!! Umri wako ni gani?
 
Huo mwandiko mpo vyuo gani nyie vichaaa??
Huwa nina mpango wa kuanzisha mada maalumu juu ya kanuni za uandishi, kwa sababu hali ni mbaya sana.

Yaani siku zinavyokwenda, uwezo wa Watanzania kuandika kwa Kiswahili unapungua.

Hali hii inasababishwa na kuzipuuza kanuni za uandishi, hivyo taratibu watu wanapata ulemavu wa lugha. Unakuta mtu anaandika meseji hata haieleweki. Badala ya kuandika "sasa" yeye anaandika "xaxa".
 
Ndio ujinga wa maisha, Ukiwa Chuo watoto wanakua wakali balaa halafu unakua na "appetite" sana sema unakua huna "cash"!

Ukiwa Mtaani unakua na cash ila sasa unakua huna muda, huna appetite, una majukumu! Dah unakua unapishana na fursa!
ukweli mtupu mkuu, hii kitu nashangaa now pisi hata zile zilokawa zinaringa chuo zinajileta afu sina appetite Niko busy nina mwanamke wangu mmoja hata kushuulika na hawa wengine nakua mzito kinoma. ajikeep busy tu
 
Espy njoo utoe ushauri.

Ushauri wangu kwako mvulana soma sana. Kama una muda wa ziada anza kujifunza ujasiriamali huku uraiani ajira hakuna.
Aache kiherehere cha kupenda penda vitu vya watu, afuate kilichompeleka shule.
 
Sio hanipendi, alishaingia kingi ila mtu wake kashtukia.
Tatizo vijana age flani huwa ni nyege zinatawala fikra.mwanamke akiwa friendly kwako sio kwamba kaingia kibla ..huko chuoni watu wanajichanganya..na wee unaonesha unamchukulia uyo manz mshamba ...fanya jaribio Moja tafuta rafiki yako awe anawasiliana nae pia..uone mwenendo...akiwa friendly Napo atakuwa kaingia kibra..? Akileta pozi anaringa..asee...
 
Kama niendelee kukaza au!
Endelea kukaza na uchumi huu watu wanatembea na masona na stress waje kumaliza kukukaza nawewe ..unajikuta umepigwa chupa bar au club kisa hujui kumbe wapwa walikufwatilia wanakutafutia sababu....na kama upo Moshi uko jiangalie apo mocu
 
Hahahahahaha kazi kweli kweli uko chuo kikuu kitu kidogo kama hiki unashindwa kuelewa, kama hujui kusoma hata picha huoni?
 
Uwa munatakia nini kuowa vibinti vya chuo bandugu! Ndio maana wengi wao haviolewi vinaishia kupigwa mimba nyambafu zao.

Sifa zao kuu
1 Viongeaji
2 Vijuaji
3 Viburi
4 Vinunaji
5 Visilani

Alafu na wewe mleta mada, soma acha mambo ya kijinga, usipokua makini utaolewa mzee
 
Uwa munatakia nini kuowa vibinti vya chuo bandugu! Ndio maana wengi wao haviolewi vinaishia kupigwa mimba nyambafu zao.

Sifa zao kuu
1 Viongeaji
2 Vijuaji
3 Viburi
4 Vinunaji
5 Visilani

Alafu na wewe mleta mada, soma acha mambo ya kijinga, usipokua makini utaolewa mzee
Angalau umenishauri kiume mkuu! Nakupa salute!
 
Endelea kukaza na uchumi huu watu wanatembea na masona na stress waje kumaliza kukukaza nawewe ..unajikuta umepigwa chupa bar au club kisa hujui kumbe wapwa walikufwatilia wanakutafutia sababu....na kama upo Moshi uko jiangalie apo mocu
Umenitisha sana mkuu!
 
Ngoja umalize chuo ndio utauona uhalisia wa maisha. Sasa hivi hauwezi kuona mana kuna boom! Subiri tu! Muda utaongea.

Hauwezi kukuta kijana mpambanaji anauliza swali kama hilo!
Ni kweli kaka, mimi ni mpambanaji pia.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom