Meza ya TV tsh ngapi unauza?Tulia
Ni rafiki yangu wa mda kama miezi nane iliyopita nilimlea tokea akiwa mdogo lakini sasa inabidi nimuuze tu maana hatuna maelewano mazuri
Ni paka mpenda bata au starehe
View attachment 972114
View attachment 972115
[emoji116] Pia anapenda kuangalia sana tv hasa vipindi vya wanyama na katuni
View attachment 972116
[emoji116] Akiwa na njaa au ukimuudhi huwa hacheki na mtu
View attachment 972122
Ni dume lakini yupo single maana sijawahi kumuona na totoz
Bei ni PM
Picha ya mwisho ana kujaji/judge yaani anapima uelewa wako ktk jambo ulilokuwa unafanya hapo ktk kochi...halafu akakudharau. Ilikuwa unafanya nini mbali na kumpiga hiyo picha
Ni rafiki yangu wa mda kama miezi nane iliyopita nilimlea tokea akiwa mdogo lakini sasa inabidi nimuuze tu maana hatuna maelewano mazuri
Ni paka mpenda bata au starehe
View attachment 972114
View attachment 972115
[emoji116] Pia anapenda kuangalia sana tv hasa vipindi vya wanyama na katuni
View attachment 972116
[emoji116] Akiwa na njaa au ukimuudhi huwa hacheki na mtu
View attachment 972122
Ni dume lakini yupo single maana sijawahi kumuona na totoz
Bei ni PM
Huyo atakuwa shalobalo hawezi kukamata panyaAnawindaga panya maana isije ikawa kazi yake ni kunywa maziwa tu asubuhi hadi jioni
gheto lako mbona liko rough ivyo.. umejaza vitu vya kichina kibao. ukutani ungeweka ata Wallpaper kungependeza kidogo mkuuNi rafiki yangu wa mda kama miezi nane iliyopita nilimlea tokea akiwa mdogo lakini sasa inabidi nimuuze tu maana hatuna maelewano mazuri
Ni paka mpenda bata au starehe
View attachment 972114
View attachment 972115
[emoji116] Pia anapenda kuangalia sana tv hasa vipindi vya wanyama na katuni
View attachment 972116
[emoji116] Akiwa na njaa au ukimuudhi huwa hacheki na mtu
View attachment 972122
Ni dume lakini yupo single maana sijawahi kumuona na totoz
Bei ni PM
Mkuu walikubaka wahaya nn mpaka unawachukia hivyowahaya bwana ...mnapenda sana misifa nyie mb..wa
unapenda nini bi dada?Mimi cpendi paka ka nini
[emoji38][emoji23]gheto lako mbona liko rough ivyo.. umejaza vitu vya kichina kibao. ukutani ungeweka ata Wallpaper kungependeza kidogo mkuu
[emoji38][emoji23]Hahahahahaa
Atakuwa ameanza kukwaruza...
[emoji38][emoji38]Ni rafiki yangu wa mda kama miezi nane iliyopita nilimlea tokea akiwa mdogo lakini sasa inabidi nimuuze tu maana hatuna maelewano mazuri
Ni paka mpenda bata au starehe
View attachment 972114
View attachment 972115
[emoji116] Pia anapenda kuangalia sana tv hasa vipindi vya wanyama na katuni
View attachment 972116
[emoji116] Akiwa na njaa au ukimuudhi huwa hacheki na mtu
View attachment 972122
Ni dume lakini yupo single maana sijawahi kumuona na totoz
Bei ni PM