Nimeamua rasmi kumuuza paka wangu

Nimeamua rasmi kumuuza paka wangu

Paka wana nyodo sana.....me siwawezi....wanatabia za kislayqueen.....

Me nilikuwa na paka tulikuwa tunagombana sana juu ya dharau zake, na nimeshamwambia mara kadhaa kuwa ananiboa ila huwa haelewi......ana ahidi kujirekebisha ila hafanyii kazi.


Kuna siku alinikera sana , nimetoa hela yangu nikamnunulia cream ya maziwa nimemuwekea kwenye kisosi, ameinusa tu hakulamba hata kidogo....akaendelea kulala aliniboa sana...

Na hata wageni wakija hawasalimii......alinikera sana......
 
Paka wana nyodo sana.....me siwawezi....wanatabia za kislayqueen.....

Me nilikuwa na paka tulikuwa tunagombana sana juu ya dharau zake, na nimeshamwambia mara kadhaa kuwa ananiboa ila huwa haelewi......ana ahidi kujirekebisha ila hafanyii kazi.


Kuna siku alinikera sana , nimetoa hela yangu nikamnunulia cream ya maziwa nimemuwekea kwenye kisosi, ameinusa tu hakulamba hata kidogo....akaendelea kulala aliniboa sana...

Na hata wageni wakija hawasalimii......alinikera sana......
[emoji23][emoji23]
 
Mnh! Huyu paka sipati picha siku kifurushi cha DSTv kimekata halafu mfuko upo mbaya!!! Atakufuata kila unapoenda "nyau! nyau!nyau!" Raia wanadhani paka anadai msosi kumbe anakutaka ukanunue kifurushi cha DSTv aangalie Tom & Jerry!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
.
Screenshot_20181219-164946~2.jpeg
Screenshot_20181226-142330~2.jpeg
 
Mnh! Huyu paka sipati picha siku kifurushi cha DSTv kimekata halafu mfuko upo mbaya!!! Atakufuata kila unapoenda "nyau! nyau!nyau!" Raia wanadhani paka anadai msosi kumbe anakutaka ukanunue kifurushi cha DSTv aangalie Tom & Jerry!
😂😂😂😂😂😂 paka anamaindi sana katuni
 
Hahahaha mi sijawahi hata kufuga hao wanyama hii sio fani yangu kabisaa,,,

halafu huyu mbona ana nyodo sana, akiwepo na maza house basi jamaa ajiandae kuhudumia maza mbili
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] paka anamaindi sana katuni
 
Hahahaha mi sijawahi hata kufuga hao wanyama hii sio fani yangu kabisaa,,,

halafu huyu mbona ana nyodo sana, akiwepo na maza house basi jamaa ajiandae kuhudumia maza mbili
Paka ana tabia za kujifanya kibosile mjengoni. Kama vile anajua bei ya matofali, bati na kochi alilolalia. Ndio maana wanawake wengi hawampendi 😂😂😂 unaweza ukaonesha care ukampa maziwa akanusa tu af akapita zake hivi!!!
 
Paka ana tabia za kujifanya kibosile mjengoni. Kama vile anajua bei ya matofali, bati na kochi alilolalia. Ndio maana wanawake wengi hawampendi [emoji23][emoji23][emoji23] unaweza ukaonesha care ukampa maziwa akanusa tu af akapita zake hivi!!!
Basi ndo maana km kanapenda kuabudiwa namna hiyo ndo maana nakachukia
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom