Nimeamua rasmi kumuuza paka wangu

Nimeamua rasmi kumuuza paka wangu

LICHADI

JF-Expert Member
Joined
Feb 4, 2015
Posts
4,717
Reaction score
13,439
Ni rafiki yangu wa mda kama miezi nane iliyopita nilimlea tokea akiwa mdogo lakini sasa inabidi nimuuze tu maana hatuna maelewano mazuri

Ni paka mpenda bata au starehe

IMG_20181219_111714.jpeg


IMG_20181218_211940.jpeg


[emoji116] Pia anapenda kuangalia sana tv hasa vipindi vya wanyama na katuni

IMG_20181219_130444.jpeg


[emoji116] Akiwa na njaa au ukimuudhi huwa hacheki na mtu
IMG_20181105_072656.jpeg


Ni dume lakini yupo single maana sijawahi kumuona na totoz

Bei ni PM
 
Picha ya mwisho ana kujaji/judge yaani anapima uelewa wako ktk jambo ulilokuwa unafanya hapo ktk kochi...halafu akakudharau. Ilikuwa unafanya nini mbali na kumpiga hiyo picha
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom