Nimeamua naenda mkoani......thanks JF!

Asanteni JF nitawajuza kimoja baada ya kingine...........nipo apa nasubiria lunch na hr wangu....yaani ndo kwanza nipo nawapa faida za kufanya kazi mkoani...wanachekajeee?hahahhaaaa

Jf members i lov u so much all najiskia tofaut sana na bora niliipost hapa...from today mshaur wangu mkuuatakua nyie.........pamojaaaaaaaa
 
tena huko ndio kuna hela balaa,utashuhudia siku moja,pesa ziko vijijini bana!saikolojia ya vijana maisha ni dar tu hovyo sana,i have born thea,raised there,schooling lakini mwisho wa siku ni sehemu amabyo sipendi ishi kamwe toka nimehamia mkoa mwingine!dar mara moja moja sana ndio mzuka...kila la heri
 
kila la kheri maisha ni popote sio lazima dar!!! panga mambo yako utashangaa maisha yatakunyookea!
 
Congratulations....good luck and all the best in Meatu.
 
baada ya kusoma kwa umakini mkubwa ushauri wa wana jf...asubuhi hii nimeamka nina confidence ya ajabu hadi najishangaa.....nipo nimeshafika ofisi za hii kampuni nasign mkataba na safari itaanza mara moja!!!

Sijahitaji ushauri mwingine wa kaka wala mchumba

ni safari straight to meatu.........
Meatu here i come..................................asante jf ...asanteni wote...!!namomba mnitakie safari njema na maisha mema

kila la heri, huku mbuzi kama kuku wa singida. Utakula nyama mpaka utazichoka
 
Karibu Lake Zone kaka.Huku ndo utajua kuna watu matajiri tofauti na ulivyofikiria.I tell you you wont regret!!!!
 
Back
Top Bottom