Nimeamua kutembea na binti wa Kazi, sina jinsi

Haiko sawa, ndoa na iheshimiwe na watu wote.
uzinifu ni mlango huo unaufungua katika maisha yako kumruhusu shetani aingie na kufanya yake. Mwombe sana. Mungu wako akupe hekima. Na pia itakuwa vyema mkamwona mtaalamu mpate na maarifa kidogo nini huwa sababu za tatizo hilo kwa mwenzako.

kuzini ndio mwanzo wa kupotea na nakuhakikishia ndoa yako na familia yako itakuwa katika hali mbaya zaidi kwa sababu kama baba na kichwa cha familia utakuwa umeruhusu shetani kuingia na dhambi kutawala nyumba yako. Ni hayo tu
 
Hakuna siri hapo,muhim kujiandaa jinsi yakujitetea siku kikinuka maana utasema hayamuambia mtu ila ukwel ni kuwa kashamuambia mfanyakazi mwenzake wa nyumba ya jiran
 
Oweni WANAWAKE mnao wapenda 2,3 mpka wa 4... Mungu anajua MADHAIFU yetu!!



MWANAUME HESHIMA!!
 
Kwanza pole sana brodher, pili hauko swakwa hilo unalofanya, ni changamoto tu zilizoko kwenye ndoa, kwakua wengi wetu tunaamini uwepo wa Mungu kwa imani zetu,hakuna imani hata moja itakayokubali hilo ulilofanya isipokua ungeshauriwa kuvumilia,na kwa vile uliweza hio miaka saba usinge shindwa na ulikua umesha weza, mfano katika imani yetu ya kikristo tumetakiwa kuubeba msalaba kama kristo na kumfuata ili kumfikia mungu, maana yeye ni njia. Na kwa maana hio msalaba si vipande vya miti vilivyounganishwa bali na maisha yako na changamoto zake bila ya kuivunja amri ya mungu,hivyo hilo tatizo kwenye ndoa yenu halikupaswa kutatuliwa kwa njia hio bali ni wewe ungelivumilia bila yakujali litaisha lini huka ukimuomba mungu,na kwa vile mungu ni mwamifu kwa wale wamtiio angekupa nguvu zaidi na lingeisha, chakufanya dhamiria kuacha kisha acha tubu kwa imani yako mwambie mkeo ulichofanya na umuombe msamaha kaanae chini tena huku ukimuomba mungu hakika litaisha tu. Pole sana lakini.
 
Nina mke na watoto 3 wote tunafanya kazi. Tulipozaa mtoto wa pili wife alianza kupunguza umuhimu wa tendo la ndoa sijua ni kwa kuzoea au kuchoka.

Tumewekana vikao vyetu binafsi ili kila mmoja abainishe ni vichocheo gani vinakosekana ili tuviongeze kuboresha mchezo. Wote siyo walevi na tuko karibu kifamilia. Ukifuatilia labda mkeo ana mtu hupewi taarifa zozote mbaya. Sasa tatizo ni kitu gani hatujui. Ukimwuliza naye anakwambia mume wangu nivumilie nitajitahidi ila baada ya mwezi anarudi kule kule. Usipochombeza anaweza kupitiliza hata mwezi bila kukumbushia huku tukiendelea kuheshimiana kwa sana na peace na upendo ukitawala katika nyumba.

Hali hii imenisumbua kwa muda karibu 7 years na ili kuepuka kugombana na kuepuka kwenda nje kupata UKIMWI basi nikaamua nimweleze binti ambaye anatusaidia kazi home na akaonyesha kunisikitikia kwani mi si mtu wa baa useme ningetafuta huko na pia naogopa UKIMWI. Binti akasema anaweza ku handle hiyo situation kwa masharti kwamba ataendelea kuniheshimu mimi pamoja na wife ili chochote kisishtukiwe.

Kwa mtazamo wangu hata kama mtaniona blind ni kwamba huyu binti anatumika ku rescue hii situation la sivyo ningekwenda huko na huko kutafuta viruka njia ambao wangeniweka mahali pabaya zaidi. Tumeanza mahusiano vizuri na tunaendelea kiasi kwamba hata wife asipokuwa tayari mwezi mzima sipati shida na hii imenisaidia kuepuka ugomvi uliokuwa unatokana na tendo la ndoa kutokuwa zuri. Cha ajabu hata kama mchezo tusipofanya na wife mwezi anaona mambo iko sawa maisha yanaendelea ni kucheka na kufurahi bila kujiuliza huyu mume anaishije?

Je wadau katika situation kama hiyo ambayo mke ana behave namna hii kwa ninachokifanya nimekosea au niko sawa. Kama unafikiri nimekosea nipe ushauri kuhusu njia mbadala na jiweke kwenye position yangu.
Tulipozaa mtoto wa pili au"alipozaa mtoto wa pili? Wanaume hawana tumbo la uzazi
 
Mbona leo watu wamefukunyua story nini tatizo
Sijui wamekumbuka nini labda leo ni "siku ya kuzini nje ya ndoa" maana nimekuta tena kuna mtu amekumbushia uzi wa kitambo unasema "Nimeanza kuzini na mama mkwe"...hizi nyuzi kama ulishiriki miaka ya nyuma yaani ukiingia tu unakutana na RED NOTIFICATION
 
Nina mke na watoto 3 wote tunafanya kazi. Tulipozaa mtoto wa pili wife alianza kupunguza umuhimu wa tendo la ndoa sijua ni kwa kuzoea au kuchoka.

Tumewekana vikao vyetu binafsi ili kila mmoja abainishe ni vichocheo gani vinakosekana ili tuviongeze kuboresha mchezo. Wote siyo walevi na tuko karibu kifamilia. Ukifuatilia labda mkeo ana mtu hupewi taarifa zozote mbaya. Sasa tatizo ni kitu gani hatujui. Ukimwuliza naye anakwambia mume wangu nivumilie nitajitahidi ila baada ya mwezi anarudi kule kule. Usipochombeza anaweza kupitiliza hata mwezi bila kukumbushia huku tukiendelea kuheshimiana kwa sana na peace na upendo ukitawala katika nyumba.

Hali hii imenisumbua kwa muda karibu 7 years na ili kuepuka kugombana na kuepuka kwenda nje kupata UKIMWI basi nikaamua nimweleze binti ambaye anatusaidia kazi home na akaonyesha kunisikitikia kwani mi si mtu wa baa useme ningetafuta huko na pia naogopa UKIMWI. Binti akasema anaweza ku handle hiyo situation kwa masharti kwamba ataendelea kuniheshimu mimi pamoja na wife ili chochote kisishtukiwe.

Kwa mtazamo wangu hata kama mtaniona blind ni kwamba huyu binti anatumika ku rescue hii situation la sivyo ningekwenda huko na huko kutafuta viruka njia ambao wangeniweka mahali pabaya zaidi. Tumeanza mahusiano vizuri na tunaendelea kiasi kwamba hata wife asipokuwa tayari mwezi mzima sipati shida na hii imenisaidia kuepuka ugomvi uliokuwa unatokana na tendo la ndoa kutokuwa zuri. Cha ajabu hata kama mchezo tusipofanya na wife mwezi anaona mambo iko sawa maisha yanaendelea ni kucheka na kufurahi bila kujiuliza huyu mume anaishije?

Je wadau katika situation kama hiyo ambayo mke ana behave namna hii kwa ninachokifanya nimekosea au niko sawa. Kama unafikiri nimekosea nipe ushauri kuhusu njia mbadala na jiweke kwenye position yangu.
Hakuna marefu yasiyo na ncha...usisahau
1. Kuna mazoea... mkishazowea hali hiyo mtajiachia tu
2. Kuna mimba... akioata mimba huyo siri zote nje
3. Kuna magonjwa. Anaweza akawa ana vibwana vyake huko nje mnshea..
4. Kuna kupubguza heshima kwa mkeo baada ya muda fulani kupita... hapo itagundulika tu
 
Hakuna marefu yasiyo na ncha...usisahau
1. Kuna mazoea... mkishazowea hali hiyo mtajiachia tu
2. Kuna mimba... akioata mimba huyo siri zote nje
3. Kuna magonjwa. Anaweza akawa ana vibwana vyake huko nje mnshea..
4. Kuna kupubguza heshima kwa mkeo baada ya muda fulani kupita... hapo itagundulika tu
Kuna kuwa "allergic pia" kama huyo akiondoka anakuvizia house girl wa jirani, in other words anakuwa "hachagui wala habagui"
 
Mkuu Mwana Kwetu umetuonyesha kwa vitendo kuwa umeshindwa kumuheshimu mke wako wa ndoa pamoja na ndoa yako kwa ujumla.

Ndoa yako ina tatizo,badala ya kutatua umeamua kuongeza tatizo jingine. Hilo suala la mkeo kutosikia hamu ya kufanya tendo la ndoa linaongeleka kitaalamu na lina ufumbuzi wake. Hili ni tatizo ambalo huwa linawatokea sana wanawake (hasa) wazazi. Sasa badala ya kutafuta ufumbuzi kwa kwenda kwa wataalamu wa afya wewe umeamua kuchepuka na house girl. Ndio kusema umemkatia tamaa mkeo sio?

Kitendo cha kuchepuka na msichana wa kazi kinahatarisha uhai wa ndoa yako kaka. Huyo binti anaweza kukuonyesha nidhamu siku za mwanzo lkn akishakuzoea na kukudhibiti kitandani ataanza kujilinganisha na mkeo na shida itaanzia hapo.

Halafu nimekumbuka kitu... Hivi unawezaje kumsimulia house girl matatizo ya mkeo yanayohusu faragha zenu? Unawajua wanawake wew? Kwa mwendo huo itafikia point utaanza kumueleza mapungufu ya mkeo kitandani. Hii itakua silaha kubwa ambayo unampa huyo bint dhidi ya mkeo. Unamvua nguo mkeo kaka.

Umenichekesha uliposema eti umeamua kutulia na house gal ili kujiepusha na magonjwa. Hivi umekosa hoja mkuu au? Huyo bint unamdhibiti vipi na unajua wangapi walipita kabla yako? Umempima afya? Hivi unatumia kichwa kipi kuwaza wewe?

Ushauri wangu ni kwamba. Achana na Huyo binti mkuu. Mchukue mkeo muende kwa wataalamu wa afya ambapo mtapata ufumbuzi wa tatizo lenu ili mkeo arudie hali yake ya awali.
 
Haiko sawa, ndoa na iheshimiwe na watu wote.
uzinifu ni mlango huo unaufungua katika maisha yako kumruhusu shetani aingie na kufanya yake. Mwombe sana. Mungu wako akupe hekima. Na pia itakuwa vyema mkamwona mtaalamu mpate na maarifa kidogo nini huwa sababu za tatizo hilo kwa mwenzako.

kuzini ndio mwanzo wa kupotea na nakuhakikishia ndoa yako na familia yako itakuwa katika hali mbaya zaidi kwa sababu kama baba na kichwa cha familia utakuwa umeruhusu shetani kuingia na dhambi kutawala nyumba yako. Ni hayo tu
Kama hajakuelewa hatakaa aelewe tena..
 
brother unakosea sana juba jilekebishe na hyo tabia maana beki tatu naye atataka kuwa mke sasa unafanyaje acha ufara utakuja tena kutuomba ushauri wa kijinga kama huu muheshimu mkeo juba
 
Bora wewe umeamua kuwa mkweli, kwani ni kweli wanawake wengi hasa wafanyakazi akishakuwa na watoto wawili kuendelea huwa sijuh ni uvivu au nini lakin huwa hawana sana hamu ya kufanya tendo la ndoa Mara kwa Mara na maranyingi hupenda kuwa karibu na watoto zaidi na kujisahau kama vile wana mume!
Na ni wengi kweli hutembea na wasichana wa kazi hasa ndoa ambazo mwanamke naye ni mwajiriwa.
 
Ukiona hivyo na mkeo naye ana mtu anayemchetua huko nje ndio maana anakuona kama kaka yake yawezekana hata hao watoto sio wako
 
Nina mke na watoto 3 wote tunafanya kazi. Tulipozaa mtoto wa pili wife alianza kupunguza umuhimu wa tendo la ndoa sijua ni kwa kuzoea au kuchoka.

Tumewekana vikao vyetu binafsi ili kila mmoja abainishe ni vichocheo gani vinakosekana ili tuviongeze kuboresha mchezo. Wote siyo walevi na tuko karibu kifamilia. Ukifuatilia labda mkeo ana mtu hupewi taarifa zozote mbaya. Sasa tatizo ni kitu gani hatujui. Ukimwuliza naye anakwambia mume wangu nivumilie nitajitahidi ila baada ya mwezi anarudi kule kule. Usipochombeza anaweza kupitiliza hata mwezi bila kukumbushia huku tukiendelea kuheshimiana kwa sana na peace na upendo ukitawala katika nyumba.

Hali hii imenisumbua kwa muda karibu 7 years na ili kuepuka kugombana na kuepuka kwenda nje kupata UKIMWI basi nikaamua nimweleze binti ambaye anatusaidia kazi home na akaonyesha kunisikitikia kwani mi si mtu wa baa useme ningetafuta huko na pia naogopa UKIMWI. Binti akasema anaweza ku handle hiyo situation kwa masharti kwamba ataendelea kuniheshimu mimi pamoja na wife ili chochote kisishtukiwe.

Kwa mtazamo wangu hata kama mtaniona blind ni kwamba huyu binti anatumika ku rescue hii situation la sivyo ningekwenda huko na huko kutafuta viruka njia ambao wangeniweka mahali pabaya zaidi. Tumeanza mahusiano vizuri na tunaendelea kiasi kwamba hata wife asipokuwa tayari mwezi mzima sipati shida na hii imenisaidia kuepuka ugomvi uliokuwa unatokana na tendo la ndoa kutokuwa zuri. Cha ajabu hata kama mchezo tusipofanya na wife mwezi anaona mambo iko sawa maisha yanaendelea ni kucheka na kufurahi bila kujiuliza huyu mume anaishije?

Je wadau katika situation kama hiyo ambayo mke ana behave namna hii kwa ninachokifanya nimekosea au niko sawa. Kama unafikiri nimekosea nipe ushauri kuhusu njia mbadala na jiweke kwenye position yangu.
Natamani uje utupe mrejesho sasa hali ikoje sasa kwenye ndoa yako saivi kama bado hiyo ndoa ipo
 
Back
Top Bottom