minyoo
JF-Expert Member
- May 25, 2013
- 23,407
- 22,415
Hakuna mungu wa hivyo labda mungu wa shetaniMungu akubariki Sana.
Hakuna mungu wa hivyo labda mungu wa shetaniMungu akubariki Sana.
CCM bila uchakachuaji bila wizi wa kura bila Polisiccm bila Tumeccm bila mahakamaccm bila wakurugenziccm bila Msajiliccm ni weupe sanaWasalimie huko uendako lakini umepishana na watumishi wa umma ambao hawajaongezwa mishahara, watumishi ambao hawajapandishwa madaraja na sisi tunaotegemea kustaafu kwa kikokotoo cha kipya.
Ukakae salama
We Jamaa bana yaani unajitekenya na kucheka mwenyewe ,Wahenga wanasema chanda chema huvikwa pete,na hili limethibika kuwa Ccm ni chanda chema kwa watanzania.
Niliamua kujiunga na Nccr Mageuzi nikiwa na imani kuwa ni chama ambacho kitakuwa mbadala wa kuiondoa Ccm na kukamata dola.
Ila kuna jambo moja limenifanya nirudi Ccm na hili ni kupambana na ufisadi,kisha pesa zilizokuwa zinaporwa na mafisadi kutumika kuwaletea maendeleo watanzania. Maana sekta ya afya,elimu,miundo mbinu na kila sekta imeimarishwa.
Ila jambo moja muhimu ni kuokoa zaidi ya bil 719 ambazo Iptl na Agreco walikuwa wanalipwa kila mwaka bila sababu ya msingi. Maaana sasa hakuna kampuni kama Iptl au Agreco ambayo inalipwa hizi fedha kifisadi na hakuna mgao wa umeme wala hakuna deal za kupiga pesa kama Richmond n.k.
Kwa ufupi zimebaki siku tano na kwenye karatasi ya kupigia kura Ccm ni namba moja,kwa hiyo naweka tick kwa Ccm na huku chini sipotezi muda kuangalia tena.
JK mbona anapeta uraianiCcm huwa inajitathimini ikifanya makosa, na huwa inajirekebisha,ndio maana wamiliki wa Iptl wapo lupango kwa kufanya ufisadi.
Ata mimi najiunga na CCM na kuondoka na hili lichama la chadema halina sera za maana kazi ni kupingapinga tuu na kulialia kama litoto yatima.Wahenga wanasema chanda chema huvikwa pete,na hili limethibika kuwa Ccm ni chanda chema kwa watanzania.
Niliamua kujiunga na Nccr Mageuzi nikiwa na imani kuwa ni chama ambacho kitakuwa mbadala wa kuiondoa Ccm na kukamata dola.
Ila kuna jambo moja limenifanya nirudi Ccm na hili ni kupambana na ufisadi,kisha pesa zilizokuwa zinaporwa na mafisadi kutumika kuwaletea maendeleo watanzania. Maana sekta ya afya,elimu,miundo mbinu na kila sekta imeimarishwa.
Ila jambo moja muhimu ni kuokoa zaidi ya bil 719 ambazo Iptl na Agreco walikuwa wanalipwa kila mwaka bila sababu ya msingi. Maaana sasa hakuna kampuni kama Iptl au Agreco ambayo inalipwa hizi fedha kifisadi na hakuna mgao wa umeme wala hakuna deal za kupiga pesa kama Richmond n.k.
Kwa ufupi zimebaki siku tano na kwenye karatasi ya kupigia kura Ccm ni namba moja,kwa hiyo naweka tick kwa Ccm na huku chini sipotezi muda kuangalia tena.
Acha kashfa za kilevi.
Sisi tunaojitambua na kuona maendeleo yanayofanyika tutaipigia CcmCCM bila uchakachuaji bila wizi wa kura bila Polisiccm bila Tumeccm bila mahakamaccm bila wakurugenziccm bila Msajiliccm ni weupe sana hakuna Mtanzania mwenye Akili timamu ataipigia CCM kura
Unajuaje kwamba kurudi CCM kutoka NCCR ndiyo uamuzi sahihi zaidi?Wahenga wanasema chanda chema huvikwa pete,na hili limethibika kuwa Ccm ni chanda chema kwa watanzania.
Niliamua kujiunga na Nccr Mageuzi nikiwa na imani kuwa ni chama ambacho kitakuwa mbadala wa kuiondoa Ccm na kukamata dola.
Ila kuna jambo moja limenifanya nirudi Ccm na hili ni kupambana na ufisadi,kisha pesa zilizokuwa zinaporwa na mafisadi kutumika kuwaletea maendeleo watanzania. Maana sekta ya afya,elimu,miundo mbinu na kila sekta imeimarishwa.
Ila jambo moja muhimu ni kuokoa zaidi ya bil 719 ambazo Iptl na Agreco walikuwa wanalipwa kila mwaka bila sababu ya msingi. Maaana sasa hakuna kampuni kama Iptl au Agreco ambayo inalipwa hizi fedha kifisadi na hakuna mgao wa umeme wala hakuna deal za kupiga pesa kama Richmond n.k.
Kwa ufupi zimebaki siku tano na kwenye karatasi ya kupigia kura Ccm ni namba moja,kwa hiyo naweka tick kwa Ccm na huku chini sipotezi muda kuangalia tena.
Hilo swali ni zito kwa akili yako ndogo? Kama jibu liliweka wazi kuwa kulikuwa hakuna ufisadi bali maridhiano ya kimahesabu yalileta usumbufu? Kuna mahala PAC wamesema kuna pesa ziliwekwe kwenye Account tofauti na hazina?Mkuu unamuuliza hilo swali zito hiv unategemea ana uwezo wa maswali hayo?
Hivyo vingine vya nini? Chadema?Unajuaje kwamba kurudi CCM kutoka NCCR ndiyo uamuzi sahihi zaidi?
Hapo umetaja CCM na NCCR tu.
Hujataja vyama vingi sana.
PAC ndio Wadhibiti na Wakaguzi wa Hesabu za Serikali?? CAG ndio Msemaji Mkuu eneo Hilo na aliweka wazi kuwa hizo fedha hazijulikani zilipo wewe na PAC ni Nani Hadi mumchallenge CAG?? Kadanganye watoto wako huko.Hii propaganda ilibuma na zitto junior na kaka yake walipata aibu kubwa sana. Maana PAC walitoa majibu kuwa hakuna pesa iliyopotea.
Kama kuna udikteta ungekuwa unachapa upuuzi wako?Utawala wenu wa kidikteta wewe ukiwa ni mnufaika wa udikiteta umeifedhehesha Tanzania kwa kiwango cha kutisha sana
Huu ni upotoshaji usio na mashiko,kuna pesa ambayo PAC waligundua haipo kwenye akaunti za serikali?Mkuu inaonekana hufahamu masuala ya auditing na control. Mfano pesa za kampuni yako zinatakiwa zikae benki ili ziwe monitored sasa iwaje mhasibu wako akaweke kwenye kabati la ofisini?
Unadhani akija mkaguzi akaona mapato yote yaliyopo kwenye vitabu ni tofauti na pesa iliyopo benki. Huoni ni mwanya wa wizi?
Embu naomba ujibu kwa perspective ya internal control mechanisms na auditing.
Mh...Acha ujinga.
PAC ndio Wadhibiti na Wakaguzi wa Hesabu za Serikali?? CAG ndio Msemaji Mkuu eneo Hilo na aliweka wazi kuwa hizo fedha hazijulikani zilipo wewe na PAC ni Nani Hadi mumchallenge CAG?? Kadanganye watoto wako huko.
Umeachwa na gari moshiHata mimi nitajiunga CCM iwapo watatolewa mafichoni walioiba hii trilioni 1.5 ambayo alisema CAG haipo kwenye mahesabu matumizi ingawaje.
View attachment 1608641
Mkuu hizo pesa hazikupita mfuko mkuu na hyo issue haijaanza jana tokea ripoti 2016/17 mpka ya mwaka jana bado kuna maeneo hyo shida ipo.Huu ni upotoshaji usio na mashiko,kuna pesa ambayo PAC waligundua haipo kwenye akaunti za serikali?
PAC waliweka wazi kuwa pesa zilikuwa zimetunzwa kwenye akaunti mbalimbali za hazina, kuchelewa kuzitoa kwa matumizi na finacial reconciliation ilikuwa ni tatizo lililosababisha kuwe na mapungufu ya kimahesabu.
Ok fine kama hazikupitia mfuko mkuu,nisaidie kwanini maridhiano ya kimahesabu yalikubali?Mkuu hizo pesa hazikupita mfuko mkuu na hyo issue haijaanza jana tokea ripoti 2016/17 mpka ya mwaka jana bado kuna maeneo hyo shida ipo.
CAG amelalamika sana kwenye ripoti zake na akashauri wapewe training na usimamizi uwepo ili kuhakikisha mapato yote ya serikali yanaingia mfuko mkuu.
Sasa hiyo ya kuchelewa ilelezwa wapi? Kwanini 1.5 T ichelewe? Hujui kuna siku 21 za wizara ku adress querry za CAG? Mbona hawakujitetea hivo? Umetoa wapi hii argument ya ajabu!