Hypershulemia
JF-Expert Member
- May 19, 2021
- 214
- 701
Habari za zenu wana MMU,
Leo asubuhi nilileta bandiko, kwa mke wangu alinidanganya yeye ni bikra, lakini baada ya ndoa nilikuta hana bikra ni shimo lenye dilatation ya 4cm yani kama ni mjamzito aliyeko kwenye labor unafungua partograph kabisa!
Nimeamua jumatatu ya wiki ijayo naende kumfungulia mashtaka ya ulaghai na udanganyifu! Pia nataka nilipwe fidia ya gharama zote nilizotumia kwake.
Na baada ya hapo nampa talaka, wanawake ni wengi waliohifadhi bikra zao. Ni lazima nioe bikra!
Leo asubuhi nilileta bandiko, kwa mke wangu alinidanganya yeye ni bikra, lakini baada ya ndoa nilikuta hana bikra ni shimo lenye dilatation ya 4cm yani kama ni mjamzito aliyeko kwenye labor unafungua partograph kabisa!
Nimeamua jumatatu ya wiki ijayo naende kumfungulia mashtaka ya ulaghai na udanganyifu! Pia nataka nilipwe fidia ya gharama zote nilizotumia kwake.
Na baada ya hapo nampa talaka, wanawake ni wengi waliohifadhi bikra zao. Ni lazima nioe bikra!