Nimeamua kumpuuza Tundu Lisu

Nimeamua kumpuuza Tundu Lisu

Status
Not open for further replies.
La kwanza,
Natoa shukrani zangu kwa wananchi wa Songwe walionichagua kuwa mwakilishi wao bungeni.

La pili,
Siasa sio Ukigeugeu, leo useme Lowassa fisadi kesho useme ni mtetezi wa wanyonge. Ni wapuuzi pekee ndio wanaweza kufanya siasa za ukigeugeu
Wewe Dada acha uongo umechaguliwa Na wananchi Wa songwe wewe sema nashukuru kwa kuchaguliwa Na wanachama Wa ccm wewe ni mbunge Wa viti maalum tu wananchi wa songwe zaidi ya elfu kumi wapiga kura hawajakuchagua wewe umechaguliwa na wanachama wasiozidi ata elfu moja kwa mada kama hizi uwezi chaguliwa Na wananchi wewe eti injili ya bwana inasema wema ukemea uovu acha kuhusisha maandiko ya bwana Na maandiko yako injili hiyo hiyo inasema ya kaisari mpeni kaisari Na ya Mungu mpeni Mungu Fanya siasa za kujijenga ufike mbali uweke dhamana kwa wananchi Na siyo viongozi Wa chama kisa tu unaakili za kumtukana lisu mbowe Na wengine waliokufunza siasa ukiona mwanafuzi anamtusi mwalimu wake jua Ana matatizo
 
Juliana, wewe ni moja ya watu wa ajabu sana kuwahi kutokea, hujielewi na huelewi unasimamia nini mpaka sasa na haya ndo matatizo ya kuhonga ili uhongwe pole sana.​
 
Take a note very carefully.

five to ten years is very short and close

Do not fight a giant .....you never know what will this giant exist tomorrow.


Prudence could retain your fever and everyone over tomorrow's life and healthy future.

Giants are criticality pontelial to the future. .....kindly avoid them whenever possible.

Hayo tumeyashuhudia kwa Lissu, Lema, Msigwa, na Mnyika. Hawakujua miaka nane baadae Lowassa atakuwa nani kwao. AIBU YAO.
 
Juliana, weka akiba ya maneno.

Usishangae awamu ijayo ukaja kuomba kura kwa watu hawa hawa wanaotumia ID feki (usiyo wafahamu).

Hata wewe umemnyooshea kidole Lissu; sijui umeanzaje? Kama nani kwake?!

At least nina address kama Mbunge, ila sioni wewe unaongea kama nani..? Kapuku mmoja anayetumia ID fake JF unataka kuninyooshea kidole...unaanzaje..?
 
La kwanza,
Natoa shukrani zangu kwa wananchi wa Songwe walionichagua kuwa mwakilishi wao bungeni.

La pili,
Siasa sio Ukigeugeu, leo useme Lowassa fisadi kesho useme ni mtetezi wa wanyonge. Ni wapuuzi pekee ndio wanaweza kufanya siasa za ukigeugeu
Wananchi wa Songwe walikuchagua?
 
La kwanza,
Natoa shukrani zangu kwa wananchi wa Songwe walionichagua kuwa mwakilishi wao bungeni.

La pili,
Siasa sio Ukigeugeu, leo useme Lowassa fisadi kesho useme ni mtetezi wa wanyonge. Ni wapuuzi pekee ndio wanaweza kufanya siasa za ukigeugeu
Ongezea na haya: Jk anashinda angani halafu wanahoji Jpm ni rais gani asiesafiri.
Wazungu wanatorosha mchanga wa madini,halafu wanahoji ni kwanini mchanga uzuiwe kusafirishwa nje.
Jk anaunda tume kwa kila kosa linalofanyika bila kuwachukulia hatua wanaoundiwa tume halafu Wanamlaumi Jpm kwa kuwachukulia hatua on the spot wakosefu bila tume.
 
Wewe Dada wa ..unalipwa being gani kwa upuuzi juu

Nchi inaongozwa kwa katiba /sheria sio kwa ndoto tu Na mapenzi ya MTU mmoja'

Haki ya kukutana Mimi
Na wewe na yule nia ya kikatiba sio hisani ya MTU mmjab
 
Ni vyema ukajifunza kutofautisha siasa chafu na kusema KWELI. Mpuuzi sio tusi bali ni sifa ila ni sifa mbaya ambayo mtu mzima aliyetimia sawasawa kichwani hapaswi kuwa nayo.

Nikieleza kuwa Lissu ni mpuuzi, simtukani bali naelezea moja ya sifa zake kubwa anayojitanabaisha nayo kwa watu.
Juliana maneno haya unayoyasema kwa usiowapeda yakisemwa kwa mabosi wako wa huko Lumumba mtaandamana kutumia ma RPC & RCO lakini yakisemwa kwa wana ukawa ni kicheko sio ?!

Mkapa alitukana watu hadharani na mkacheka mbona kinyume chake mnawaka. Mnaporusha madongo huku upande wa pili mjifunze kuvumilia
 
La pili,
Siasa sio Ukigeugeu, leo useme Lowassa fisadi kesho useme ni mtetezi wa wanyonge. Ni wapuuzi pekee ndio wanaweza kufanya siasa za ukigeugeu
Mtu akisoma hii hawezi kufikiri na wewe uliwahi kuwa cdm(upinzani) kwa pamoja mkiiponda CCM lakini leo hii na wewe upo hukohuko!

NB:Sijasema wewe ni kigeugeu na huna tofauti na hao unasema ni vigeugeu.
 
Huyu si ndie aliemfananisha Tulia Acksona na Yesu?
 
Mbona kama umejipuuza tena wewe mwenyewe!
 
Inawezekana haujaijua "..DOLA.." hakuna mwanadamu katika ulimwengu huu aliye chini ya dola yeyote akaitetemesha dola hiyo...unless otherwise Dola iamue kumpuuza. chezea kila kitu katika maisha lakini usijaribu kuchezea Dola. Wapo waliojaribu, ebu fanya ulizio.

At least nina address kama Mbunge, ila sioni wewe unaongea kama nani..? Kapuku mmoja anayetumia ID fake JF unataka kuninyooshea kidole...unaanzaje..?
eti nini!?
Mbunge ndo wa kuongea hivi!?
 
La kwanza,
Natoa shukrani zangu kwa wananchi wa Songwe walionichagua kuwa mwakilishi wao bungeni.

La pili,
Siasa sio Ukigeugeu, leo useme Lowassa fisadi kesho useme ni mtetezi wa wanyonge. Ni wapuuzi pekee ndio wanaweza kufanya siasa za ukigeugeu

Tundu lisu si mtu wa kupuuzwa nawe.Dr kikwete alishindwa kumpuuza.Bi Anna makinda alimpa heshma ya juu.AG alishindwa kumpuuza.Na kwa mda tu ni miongoni mwa kiongozi wa upinzani mwenye ushawishi na nguvu zaidi africa mashariki .Wewe ni kapuku au mburu matari.Unaishi kwa mipasho tu.Hivi unajua baadh ya maeneo hawaangalii mtu wanaangalia chama??hata ukieka kumbi na binadam watachagua kumbi?je kama ni songwa kati ya hayo?
 
Juliana maneno haya unayoyasema kwa usiowapeda yakisemwa kwa mabosi wako wa huko Lumumba mtaandamana kutumia ma RPC & RCO lakini yakisemwa kwa wana ukawa ni kicheko sio ?!

Mkapa alitukana watu hadharani na mkacheka mbona kinyume chake mnawaka. Mnaporusha madongo huku upande wa pili mjifunze kuvumilia

Wazazi wake wana hasara, Mume wake ana hasara, wana Songwe wanawake waliomchagua wana matatizo na hasara as well!
 
Kweli Juliana kiboko unakokota wote hawa ktk thread yako mmh
 
Ben amesomea/ni mtaalamu wa sheria?!

Mbowe na Lowasa wameamua kummaliza Tundu lisu kisiasa bila yeye kujua. Pengine kwakuwa alishindwa kesi ya Kafulila na Wenje hivyo wanataka kumpoka hiyo nafasi ya Mwanasheria wa chama wampe @Bensanane.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom