Nimeamua Kulima kwa mara ya Pili kilimo cha mahindi

Mi nahusika na Parachichi na miti..
Haya mazao ya msimu nalimiaga watu (order) ili niwe bize..
Maana nimeacha kazi then haya ya msimu ndio yanayoni keep bize..

Mvua ikiisha narudi kwenye Parachichi zanguu...
Kama ni hivyo sawa,maana mazao ya msimu ni pasua kichwa sana mkuu,haya ya miti na matunda yapo poa zaidi.
 
JF

Hali ya uchumi ni ngumu sana kwa watu wote hasa tunategemea mwisho wa mwezi. Weekend nilijaribu kupiga hesabu za mishahara yangu in next 10 years....ooooooooooops hazikufika hata 500millions Tshs.

Kwa maneno mengine kama sintantafuta kitu mbadala mbali na mshahara wangu cha kufanya basi nishakufa maskini na sintakuwa na chochote cha kuwaachia wanangu.

Maisha ni magumu sana kadri siku zinavyoenda mbele, sasa nimeamua kuanza kilimo kwa mara ya pili, awamu hii natumia mshahara wangu kama mtaji, nimewaambia kwa mara ya pili sababu kilimo cha kwanza nilifanya pamoja na wazazi wangu hadi nilipomaliza form four miaka hiyo, hicho hakikuwa na manufaa yeyote sababu ya mtaji na ufahamu.

Kwa sasa nimeanza na heka 50 ( 70m by 70m), nipo morogoro - pale Tuliani. Heka zote zimeshalimwa sasa tunapanda - nita expand my project up to 1,000 in next 3 - 5 years.

Makadirioni kwamba kila hekari average ni gunia 30, nitategemea kupata gunia 1500 za mahindi kutokana na hekari zangu za sasa 50. Kila gunia average selling price ni Tshs 60,000. kwa hiyo nitapata average Tshs 90m by July this year.

Running cost itakuwa approx 5m, so super profit ni 85m by July 2010.

Sasa 85m kwa mtu anayepokea sh 1million kwa mwezi ni mshahara wake wa miaka 7 na ushee-- teh teh teh teh

By next year nitaexpand to 200 hektas, nitalipima shamba langu na nijaribu kutafuta mikopo katika mabenki - or mbia toka SA au Zimbabwe. by 2015 wakati Dr Slaa anakuwa Rais wa nchi nitakuwa millionea. Sasa ole wenu mseme nimefanya ufisadi.

This is a challenge to you JF - hasa mnaopata less than 5m per month - think twice and join me.

Kumbuka shairi la darasa la nne - Kama mkitaka mali mtayapata shambani - huu ni wosia.
Tupe mrejesho mkuu umefikia wapi? Maana hapo kwenye gharama zote iwe ni 5M ni uongo ulio tukuka. We are the farmers by field sijui waandiahi humu.

Tupe mrejesho sasa ni miaka kama 8
 
JF

Hali ya uchumi ni ngumu sana kwa watu wote hasa tunategemea mwisho wa mwezi. Weekend nilijaribu kupiga hesabu za mishahara yangu in next 10 years....ooooooooooops hazikufika hata 500millions Tshs.

Kwa maneno mengine kama sintantafuta kitu mbadala mbali na mshahara wangu cha kufanya basi nishakufa maskini na sintakuwa na chochote cha kuwaachia wanangu.

Maisha ni magumu sana kadri siku zinavyoenda mbele, sasa nimeamua kuanza kilimo kwa mara ya pili, awamu hii natumia mshahara wangu kama mtaji, nimewaambia kwa mara ya pili sababu kilimo cha kwanza nilifanya pamoja na wazazi wangu hadi nilipomaliza form four miaka hiyo, hicho hakikuwa na manufaa yeyote sababu ya mtaji na ufahamu.

Kwa sasa nimeanza na heka 50 ( 70m by 70m), nipo morogoro - pale Tuliani. Heka zote zimeshalimwa sasa tunapanda - nita expand my project up to 1,000 in next 3 - 5 years.

Makadirioni kwamba kila hekari average ni gunia 30, nitategemea kupata gunia 1500 za mahindi kutokana na hekari zangu za sasa 50. Kila gunia average selling price ni Tshs 60,000. kwa hiyo nitapata average Tshs 90m by July this year.

Running cost itakuwa approx 5m, so super profit ni 85m by July 2010.

Sasa 85m kwa mtu anayepokea sh 1million kwa mwezi ni mshahara wake wa miaka 7 na ushee-- teh teh teh teh

By next year nitaexpand to 200 hektas, nitalipima shamba langu na nijaribu kutafuta mikopo katika mabenki - or mbia toka SA au Zimbabwe. by 2015 wakati Dr Slaa anakuwa Rais wa nchi nitakuwa millionea. Sasa ole wenu mseme nimefanya ufisadi.

This is a challenge to you JF - hasa mnaopata less than 5m per month - think twice and join me.

Kumbuka shairi la darasa la nne - Kama mkitaka mali mtayapata shambani - huu ni wosia.

Kilimo cha PDF njoo utupe mrejesho bilionea.
 
Wakuu salama,
El nino alirudi hapa na kutoa mrejesho. Alilima eka 100 kule Turiani na akavuna gunia 10 tu, akaapa kutolima tena na badala yake akaamua kuwa middle man. Yupo Kigamboni kama unaenda Kimbiji anakula Bata Mikadi beach.
 
Wakuu salama,
El nino alirudi hapa na kutoa mrejesho. Alilima eka 100 kule Turiani na akavuna gunia 10 tu, akaapa kutolima tena na badala yake akaamua kuwa middle man. Yupo Kigamboni kama unaenda Kimbiji anakula Bata Mikadi beach.
Aiseee
 
Sijuwi tuliani haliyahewa ikoje, nasijuwi kwanini alifeli (kama kweli alilima, kwa tija). Kilimo cha mahindi kinahitaji mvua ya uhakika, Tanzania hii kuna mikoa ambayo mvua siyo ya kubahatisha, hata ukilima kwenye ardhi isiyo na rutba sana ni mbolea yako tu hukosi japo gunia 20 kwa ekari.

Nilichogundua humu wengi ni wapiga soga, na wachache wanaojaribu wanakuwa hawajafanya utafiti, anategemea avune halafu akimbilie sokoni, akikutana na bei ya mia3 kwakilo anabaki kulia "mahindi hayalipi". Mkulima wakweli jembe halimtupi kamwe.
Wakuu salama,
El nino alirudi hapa na kutoa mrejesho. Alilima eka 100 kule Turiani na akavuna gunia 10 tu, akaapa kutolima tena na badala yake akaamua kuwa middle man. Yupo Kigamboni kama unaenda Kimbiji anakula Bata Mikadi beach.
IMG_20200224_163336.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mahindi irrigation itakuuwa inahitaji pesa nyingi sana, nenda mkoa wenye mvua zakutosha, andaa 5m anza na ekar 10 tu. Hakikisha umepata shamba karibu na mtu mzoefu, mbefriend kisha tembea kwenye nyayo zake. Ukivuna usiwe na haraka ya kuuza, tembea kwenye nyayo za huyohuyo mzoefu ndiyo anajua soko.
Pole sana Mkuu, Hakuna pasipo na changamoto.
Kiukweli waliotoka kutokana na kilimo ni wachache sana ambao ninao wajua mimi kulinganisha na walio feli.

Ila kilimo sana sana ni kujipanga na aina ya mazao unayolima na iwe commercial kweli kweli, Heka tano za mahindi ni stress tu angalau ukinzia 15 and above kidogo inaleta utofauti na wanaolima kwaajili ya mahitaji ya nyumbani tu.

Ninaamini kama una mtaji wa kutosha kukuwezesha kilima cha kisasa itakusaidia kuliko hichi kilimo cha kutegemea mvua.
Ninaamini kabla hujaendfa kwenye kilimo ulipitia shuhuda kama hizi pamoja na majarida mbalimbali kuhusu kilimo husika.

Maisha ni mapambano mkuu usikate tamaa kama ulianguka kwenye kitunguu jaribu kwenye nyanya kama ulianguka kwenye nyanya jaribu Tangawizi.

Mimi najua tatizo lipo kwenye vyeti vyetu vya shule vinatupa woga.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mahindi irrigation itakuuwa inahitaji pesa nyingi sana, nenda mkoa wenye mvua zakutosha, andaa 5m anza na ekar 10 tu. Hakikisha umepata shamba karibu na mtu mzoefu, mbefriend kisha tembea kwenye nyayo zake. Ukivuna usiwe na haraka ya kuuza, tembea kwenye nyayo za huyohuyo mzoefu ndiyo anajua soko.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hakika

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Anyway kilimo kinatoa ila jiandae kucmama wewe kama wewe c unaijua sirikali yetu inatuongopea tangu tunapata uhuru mpk leo kuwa kilimo n uti wa mgongo na hakijawah hata siku moja kuboresha mazngra. M n mkulima mzuri tu npo dabaga mufind iringa na songea magagura nalima mahindi karibu.
Mkuu

Tunaomba feedback ya kilimo chako cha mahindi huko Mufindi na Songea
 
Wakuu mambo vipi?

Naomba kujuzwa kuhusu kilimo cha mahindi na maharage ya njano, kwa mkoa wa Njombe, hasa kuhusu upande wa soko la nafaka hizi. Nahitaji hasa kujua upatikanaji wa soko, baada ya kuvuna .

Kwa sababu nina plan ya kwenda kuanza kilimo mwishoni mwa mwaka huu, kwa mkoa wa njombe.
 
Back
Top Bottom