Nimeamua Kulima kwa mara ya Pili kilimo cha mahindi

Halafu wakuu nimesikia kuwa mahindi ya Dodoma yanatoa unga kilo nyingi yakisagwa kuliko mahindi ya sehemu zingine.

Na kwamba mahindi ya Mbeya (na nyanda za juu kusini) unga wake ni mtamu kuliko mengine.

Kwa hiyo nikasikia kuwa mahindi ya Dodoma huwa yananunuliwa kwa bei kubwa, na yanawahi kuisha sokoni.

Swali je:

1. Hayo maneno ni kweli?

2. Kama ni kweli, je sababu ni nini? - Hali ya hewa au aina ya mbegu au vyote? Mfano unaweza ukapanda mahindi ya Dodoma Mbeya na vice versa?
Hakuna mahindi ya dodoma kule kumepauka sana,dodoma wanalima zabibu,Mahindi ni ya Manyara Hasa wilaya ya Kiteto,dodoma hasa soko la kibaigwa wanachofanya nikununua mahindi toka kiteto nakufanya stock
 
Kwa nini umechoka ajira mkuu?

Ndugu kwenye ajira kuna changamoto kama zilivyo kwenye kilimo na Biashara nyingine. Changamoto za kwenye ajira hazifanani kabisa.

Changamoto za kwenye ajira ni kama zile za mke na mume ambazo mara nyingi ni siri, Changamoto za ndoa A hazifanani na changamoto za ndoa B.

Elewa tu kwamba kila mtu ana changamoto zake katika ajira, Director hawezi kuwa na changamoto zinazifanana na asistant accountant.

Ningependa kufanya hizi changamoto zangu kuwa siri.

Na pia kutaka kuingia kwenye kilimo sio kwamba nakimbia changamoto yawezekana huko ndio kwenye changamoto zaidi ndio maana nikaomba mresho wa bwana ELNIN0

MKUU ELNIN0 NAKUITA KWA MARA YA PILI NAOMBA MREJESHO
 
Je,una ndg/rafiki ambae umeona kilimo kimemtoa?
Ndugu kwenye ajira kuna changamoto kama zilivyo kwenye kilimo na Biashara nyingine. Changamoto za kwenye ajira hazifanani kabisa.

Changamoto za kwenye ajira ni kama zile za mke na mume ambazo mara nyingi ni siri, Changamoto za ndoa A hazifanani na changamoto za ndoa B.

Elewa tu kwamba kila mtu ana changamoto zake katika ajira, Director hawezi kuwa na changamoto zinazifanana na asistant accountant.

Ningependa kufanya hizi changamoto zangu kuwa siri.

Na pia kutaka kuingia kwenye kilimo sio kwamba nakimbia changamoto yawezekana huko ndio kwenye changamoto zaidi ndio maana nikaomba mresho wa bwana ELNIN0

MKUU ELNIN0 NAKUITA KWA MARA YA PILI NAOMBA MREJESHO
 
Ndugu kwenye ajira kuna changamoto kama zilivyo kwenye kilimo na Biashara nyingine. Changamoto za kwenye ajira hazifanani kabisa.

Changamoto za kwenye ajira ni kama zile za mke na mume ambazo mara nyingi ni siri, Changamoto za ndoa A hazifanani na changamoto za ndoa B.

Elewa tu kwamba kila mtu ana changamoto zake katika ajira, Director hawezi kuwa na changamoto zinazifanana na asistant accountant.

Ningependa kufanya hizi changamoto zangu kuwa siri.

Na pia kutaka kuingia kwenye kilimo sio kwamba nakimbia changamoto yawezekana huko ndio kwenye changamoto zaidi ndio maana nikaomba mresho wa bwana ELNIN0

MKUU ELNIN0 NAKUITA KWA MARA YA PILI NAOMBA MREJESHO
Sawa mkuu,niliuliza hivyo sababu kilimo ndugu yangu kimenipa stress za kutosha na mimi niliacha kazi nikaja kwenye kilimo aisee ni hatari sana yani kuna muda mwili mzima ninasikia una baridi kali na wakati kuna joto la kutosha.

Inafikia kipindi nina natamani sana ile kazi niliyokua nimeajiriwa japo ilikua na changamoto zake nyingi mno.
 
Sawa mkuu,niliuliza hivyo sababu kilimo ndugu yangu kimenipa stress za kutosha na mimi niliacha kazi nikaja kwenye kilimo aisee ni hatari sana yani kuna muda mwili mzima ninasikia una baridi kali na wakati kuna joto la kutosha.

Inafikia kipindi nina natamani sana ile kazi niliyokua nimeajiriwa japo ilikua na changamoto zake nyingi mno.

Pole sana Mkuu, Hakuna pasipo na changamoto.
Kiukweli waliotoka kutokana na kilimo ni wachache sana ambao ninao wajua mimi kulinganisha na walio feli.

Ila kilimo sana sana ni kujipanga na aina ya mazao unayolima na iwe commercial kweli kweli, Heka tano za mahindi ni stress tu angalau ukinzia 15 and above kidogo inaleta utofauti na wanaolima kwaajili ya mahitaji ya nyumbani tu.

Ninaamini kama una mtaji wa kutosha kukuwezesha kilima cha kisasa itakusaidia kuliko hichi kilimo cha kutegemea mvua.
Ninaamini kabla hujaendfa kwenye kilimo ulipitia shuhuda kama hizi pamoja na majarida mbalimbali kuhusu kilimo husika.

Maisha ni mapambano mkuu usikate tamaa kama ulianguka kwenye kitunguu jaribu kwenye nyanya kama ulianguka kwenye nyanya jaribu Tangawizi.

Mimi najua tatizo lipo kwenye vyeti vyetu vya shule vinatupa woga.
 
Pole sana Mkuu, Hakuna pasipo na changamoto.
Kiukweli waliotoka kutokana na kilimo ni wachache sana ambao ninao wajua mimi kulinganisha na walio feli.

Ila kilimo sana sana ni kujipanga na aina ya mazao unayolima na iwe commercial kweli kweli, Heka tano za mahindi ni stress tu angalau ukinzia 15 and above kidogo inaleta utofauti na wanaolima kwaajili ya mahitaji ya nyumbani tu.

Ninaamini kama una mtaji wa kutosha kukuwezesha kilima cha kisasa itakusaidia kuliko hichi kilimo cha kutegemea mvua.
Ninaamini kabla hujaendfa kwenye kilimo ulipitia shuhuda kama hizi pamoja na majarida mbalimbali kuhusu kilimo husika.

Maisha ni mapambano mkuu usikate tamaa kama ulianguka kwenye kitunguu jaribu kwenye nyanya kama ulianguka kwenye nyanya jaribu Tangawizi.

Mimi najua tatizo lipo kwenye vyeti vyetu vya shule vinatupa woga.
Ni kweli kabisa vyeti vinazingua sana na unajiona kama vile unapoteza professional yako kama sio kusahau

Vyeti vinatupa uoga kweli kweli sio siri
 
Kule kote ruaha si imepita?,masika wanalima mazao gani kwa sasa?
Mazao yotee.. Kama muda huu nipo huku ni maandalizi ya mashamba.. Maana TMA wamesema utabiri wa mvua ni katikati ya November.. Then tunaiwahi mvua
 
Pole sana Mkuu, Hakuna pasipo na changamoto.
Kiukweli waliotoka kutokana na kilimo ni wachache sana ambao ninao wajua mimi kulinganisha na walio feli.

Ila kilimo sana sana ni kujipanga na aina ya mazao unayolima na iwe commercial kweli kweli, Heka tano za mahindi ni stress tu angalau ukinzia 15 and above kidogo inaleta utofauti na wanaolima kwaajili ya mahitaji ya nyumbani tu.

Ninaamini kama una mtaji wa kutosha kukuwezesha kilima cha kisasa itakusaidia kuliko hichi kilimo cha kutegemea mvua.
Ninaamini kabla hujaendfa kwenye kilimo ulipitia shuhuda kama hizi pamoja na majarida mbalimbali kuhusu kilimo husika.

Maisha ni mapambano mkuu usikate tamaa kama ulianguka kwenye kitunguu jaribu kwenye nyanya kama ulianguka kwenye nyanya jaribu Tangawizi.

Mimi najua tatizo lipo kwenye vyeti vyetu vya shule vinatupa woga.
Nimeanza kilimo rasmini mwaka Jana... Na LAZIMA NITOBOE..
Mwakani nitakuja kuwapa update.
Ngoja masika iishe

Ila LAZIMA NITOBOE..!!!
 
Back
Top Bottom