Mi sijasearch account ya pisi, ila ikiomba hela miguu iguse kisogo.ahh 007 una niangusha una kuwa ka siyo wa kitambo, huoni I'd ni mpya na demu ana act ka tume Juana kitambo.
au una taka mdogo wako wani Vue ka samaki mbele ya chambo😂🤣
Hapa halambi shilingi, hata aki jidai yeye maitiMi sijasearch account ya pisi, ila ikiomba hela miguu iguse kisogo.
Si ajabu ni BICHWA KOMWE - na id yake nyingine ndo ana mambo ya kisodoma na gomora huyo.
Ahsantee nakuja, nipe locsKaribu sana mkuu😁
Kula ioAisee😂🤣
Chizi kweliUwe una acha ubwege basi, haji manara akili yako ime kaa kishirikina sana
Jichanganye ujute kijanaNa iwe kheri, nikiwa around lazima iwe. Hata Half american sija muona sijui ana ogopa kujulikana yeye ni haji manara 😂
Wenzio walio jichanganya wali ishia kupostiwa na mishumaaJichanganye ujute kijana
Wenzio hata hawakuonekanaWenzio walio jichanganya wali ishia kupostiwa na mishumaa
ahh wapi, ili uni snitch kwa Shem shem 😆 🤣Kula io
Na hiyo ngozi yako ka karatasi, chap chap napata mkwanjaWenzio hata hawakuonekana
Ntakushtak ewe kenge maji ya mvuaNa hiyo ngozi yako ka karatasi, chap chap napata mkwanja
We kula acha uoga kwani ukila unakuja kulipia sponsor ads humuahh wapi, ili uni snitch kwa Shem shem 😆 🤣
ahh wapi naijua hiyo, usi kute hiyo I'd yako au ya Shem ana nipima🤣😂We kula acha uoga kwani ukila unakuja kulipia sponsor ads humu
Basi sawaKununua mly haija wahi kuwa priority yangu, na kwanini ninunue ehh aisee🙄🤔.
uwezo wa kukaa single ninao, niki boeka ita julikana.
Sina ujinga wa kumiliki id ya kikeahh wapi naijua hiyo, usi kute hiyo I'd yako au ya Shem ana nipima🤣😂
😂😂😂😹😹😹 Nimeona matajiri wengi wa JF wanamshukuru mleta uzi anawainspire, moja kwa moja nikaona kuna tatizo..!!! 🤣