Hizi mashine ni kama mgodi wa dhahabu mkuu. Pesa inaingia kwa njia 3 kwa wakati mmojaUtafika mbali sana,ongeza bidii na punguza matumizi.kuna mdada namjua naye ana hizo machine za kukamua alizeti anapiga pesa sana,kwenye account yake ana 90M just za faida inayotokana na hiyo biashara.
Upo sahihi sana nakwede97 . Kila mmoja na maamuzi yakeJina lako hamumu haya bana kama ni kwel hongera
Halafu jaman sio lazma kuishi na mwanamke hiyo ni maamuzi ya mtu binafsi kama umetaka kuoa Hilo ni uamuzi usije humu kuanza kulia ooh wanawake wafilisi as if Kuna mtu alimshikia mtu mtutu Aishi na mwanamke
Wanaume wengine hawapend maswala ya machangudoa wanaamua kuishi na mwanamke ndo hayo maanuz Sasa ila usiseme mwanamke anafilisi hata vitabu vya dini vimesema utakula Kwa jasho na mwanamke atazaa Kwa uchungu
Jf kuna madiniKuna kipindi nilikaa bila mwanamke kwa miezi 6 nilisave 21M.
Wanawake ni financial vampire,lakini ndio hivyo huwezi kuishi bila wao ni sehemu ya maisha yetu.
Wanawake ni MufrisuJina lako hamumu haya bana kama ni kwel hongera
Halafu jaman sio lazma kuishi na mwanamke hiyo ni maamuzi ya mtu binafsi kama umetaka kuoa Hilo ni uamuzi usije humu kuanza kulia ooh wanawake wafilisi as if Kuna mtu alimshikia mtu mtutu Aishi na mwanamke
Wanaume wengine hawapend maswala ya machangudoa wanaamua kuishi na mwanamke ndo hayo maanuz Sasa ila usiseme mwanamke anafilisi hata vitabu vya dini vimesema utakula Kwa jasho na mwanamke atazaa Kwa uchungu
Ni kweli mkuu, niliamini bado kuna namna ninayoweza kutengeneza kipato zaidi ya kile nilichokuwa nachoHongera mkuu ila umetake risk kweli kweli kimjini mjini umiliki hivyo vitu vyote unakua ushamaliza maisha ni kuongeza tu michepuko.
Ni uamuzi mzuri mkuuNi kweli mkuu, niliamini bado kuna namna ninayoweza kutengeneza kipato zaidi ya kile nilichokuwa nacho
TUWOWENI tu jamani wanawake wema bado tupoKATAA NDOA LINDA MAISHA YAKO
KATAA NDOA LINDA UHURU WAKO
KATAA NDOA LINDA UCHUMI WAKO
Tatizo ume Anza kuni koromea mapemaTUWOWENI
Sasa itakuajeTatizo ume Anza kuni koromea mapema
KATAA NDOA LINDA MAISHA YAKOSasa itakuaje
Wewe haji manara huwa una waza mademu weupe tu, na ndoa zako za kila kukichaHongera mkuu ila umetake risk kweli kweli kimjini mjini umiliki hivyo vitu vyote unakua ushamaliza maisha ni kuongeza tu michepuko.
Inategemea kiwanja kiko wapi. Kule Chanika ndani ndaniiiiii, kiwanja unapata kwa laki 9.viwanja 3, boda 2, mzigo wa biashara, vitu vyote vya ndani.....16M?? hii chai
Mimi na mademu weupe ni maji na mafuta, dem mweupe hajawahi kunivutia na huwa sinaga muda nao kabisa. Hata tukipishana sigeuki ila chokoleti kala na weusi ndio pepo yangu.Wewe haji manara huwa una waza mademu weupe tu, na ndoa zako za kila kukicha