Mzee wa kazi ngumu
Senior Member
- Sep 28, 2023
- 148
- 469
Straight to the point. Ni hivi nimeamua kuuharibu mwili Ili nipate pesa kwanza mambo ya "afya ni uhai" kwangu niujinga tu. Sasa wakuu nahitaji kujua mambo manne yafuatayo.
1. Nataka kujua ni energy drink gani nzuri?
2. Nataka kujua nichanganye energy drink na kitu gani Ili nisichoke haraka.
3. Nataka kujua pia ni dawa gani aina ya pain Killer nayoweza kuitumia wakati nimeanza kuchoka Ili nikate maumivu na uchovu Ili nizidi kupiga kazi nzito zaidi.
4. Je naweza kuitumia painkiller na energy drink kwa wakati mmoja.
Wakuu sihitaji ushauri mwingine zaidi ya hayo mambo matatu niliyoyataja hapo juu.
NB:Kazi nayopiga ni ya zege tunapandisha ghorafa ya pili. Malipo ni makubwa na nina madeni kila Kona kwahiyo nilazima nifanye hii kazi Ili nilipe madeni ya watu niishi kwa amani na pia nikomboe vyeti vyangu vya maskuli.
Hii picha sio Mimi ila ni moja kati ya kazi zetu ngumu tu.
1. Nataka kujua ni energy drink gani nzuri?
2. Nataka kujua nichanganye energy drink na kitu gani Ili nisichoke haraka.
3. Nataka kujua pia ni dawa gani aina ya pain Killer nayoweza kuitumia wakati nimeanza kuchoka Ili nikate maumivu na uchovu Ili nizidi kupiga kazi nzito zaidi.
4. Je naweza kuitumia painkiller na energy drink kwa wakati mmoja.
Wakuu sihitaji ushauri mwingine zaidi ya hayo mambo matatu niliyoyataja hapo juu.
NB:Kazi nayopiga ni ya zege tunapandisha ghorafa ya pili. Malipo ni makubwa na nina madeni kila Kona kwahiyo nilazima nifanye hii kazi Ili nilipe madeni ya watu niishi kwa amani na pia nikomboe vyeti vyangu vya maskuli.
Hii picha sio Mimi ila ni moja kati ya kazi zetu ngumu tu.