Nimeamua kubadili brand ya simu rasmi

Hao Oppo sio mediatek?
wanatumia mediatek na snapdragon zote zote, na hata mediatek wana soc zina afadhali,

mfano kama mediatek p series (p10 na p20) ni soc nzuri na zinatunza chaji compare na mediatek nyengine,

Tatizo la wachina wengine wanatumia mediatek za ovyo, unakuta simu inaekwa battery ya 5000mah halafu soc wanayotumia haitunzi chaji mwisho wa siku simu haikai na chaji kama inavyotakikana.
 
hazina makelele

Chief-Mkwawa changamoto kubwa ya one+ ni nini?
haina vitu premium,

specs zake za ndani zinakuwa kubwa vitu kama ram, processor, gpu etc hivyo unapata perfomance kama simu kubwa za s8, lg g6 na wengineo.

ila unakosa vitu premium kama camera nzuri, display, material nk

ila kwa bei yake bado inakuwa simu nzuri sababu mara nyingi inauzwa nusu ya bei, unaikuta dola 300 hadi 400 wakati hao wakubwa ni dola 600 hadi 800
 
Ndiyo naisikia leo. Ama market niliyopo simu hizi hazipo ama kama zipo sijafuatilia sana.

LG nao naona wameanza kuhanithi simu zao G6 inakuja bila removable batteries. That is a deal killer for me. Kama nilikuwa natafuta sababu kuto upgrade nishaipata.
one plus wametarget sana market ya west nchi za ulaya na marekani.

lg v20 nafkiri ndio latest inayotoka battery, na kwenye highend naona kama battery za kutoka zinapungua,
 
one plus wametarget sana market ya west nchi za ulaya na marekani.

lg v20 nafkiri ndio latest inayotoka battery, na kwenye highend naona kama battery za kutoka zinapungua,
Kwa nini wanaondoa removable batteries wakati batteries za smartphone bado hazijafika uwezo wa kwenda 24 hours bila recharge?

Wengine tunakwenda kwenye utafiti misitu ya Guatemala huko au kuchimba mafuta kwenye nyanda za Uzbekistan hakuna umeme huko for days. Removable batteries muhimu sana kwetu.

Nilikuwa naongea na jamaa mmoja anafanya kazi kampuni ya simu akasema wanaogooa simu kuharibiwa na watu wasiojua kufungua na kubadilisha battery wakati zikiwa kwenye warranty.

It's a freaking tyranny.

Mimi simu ambayo haina removable battery na micro sd card slot (preferably easily accessible) naona ina mapungufu makubwa sana.

Nasoma hii articke on the subject.

One of the original signature features in Android phones is all but dead

Kuna ujinga mkubwa sana wanausema. Eti watu wanataka simu nzuri na simu nzuri haziwezi kuwa na remivabke batteries.

Moja, hiyo ni design challenge tu. Wameshindwa kazi.

Pili, hivi ukiwa na simu nzuri ambayo huwezi kuitumia jwa sababu battery imekwisha, huo uzuri wa battery utakusaidia nini?
 
Baada ya kuwa mshabiki wa kampuni ya simu pendwa za tecno kwa kipindi kirefu, nmefanikiwa kubadili brand na kuhamia Oppo phones.

Hii imetokana na Tecno kutubadilishia gia angani kwa kuuza simu zenye ubora mdogo kwa pesa ndefu kuliko dhamira halisi iliowaingiza sokoni. In short wanabadili makasha ila mostly hardwares wanazotumia ni cheap sana na hawaoneshi nia ya ku improve zaidi ya kubadili kamera tu kila siku.

Kuanzia leo sitaki hata kusikia habari za tecno, nimekuwa very satisfied na brand ya oppo phones.

Nmenunua oppo a33f na bibie nimemnunulia a37f. Camera excellent, battery optimization hatari sana, soc ni sawa na highend phone brands ni qualcomm sio mediatek, ram optimization safi, storage iko fast pia haijai haraka kama kule.

Tukija kwenye bei ni as cheap as hizo tecno ila unapata kitu nzuri zaidi aisee. Najua kuna wale mliochoshwa na tecno ila hamna mbadala nawashauri chekini oppo phones wako tununu!

Regards,
Extrovert.

Cc: Chief-Mkwawa

A37f
View attachment 501226

A33f
View attachment 501227
Mkuu na oppo yangu imecrack touch screen, japo bado inasense lkn sipendezwi na muonekano. (mimi kunamtu aliniletea kutoka china) Nasikia bland ya oppo sio kwa soko la kwetu vp wewe umeinunulia wap.
IMG-20170412-WA0035.jpeg
IMG-20170412-WA0033.jpeg
6d62a9e2a4638cb298e2a2fbc3b7df83.jpg
 
Back
Top Bottom