Nimeamua kuachana rasmi na Vodacom

Nimeamua kuachana rasmi na Vodacom

Mimi nilipeleka line angu ya voda kwa wakala ili aikate iweze kuingia kwa smartphone bahati nzuri sijui mbaya akaikata kisenge ikaharibika...nika mind ila baadae akaniambia ni renew nyingine nilivyotajiwa process nikanunua halotel hapohapo....
 
Nimeusoma uzi huu kwa uchungu sana,tatizo si Vodacom peke yake mimi jana Tigo nimerenew laini yangu iwe ya 4g lakini mpaka sasa haikamati hata mtandao na waliniambia niiwekee 4000,Customer care(100) wameniambia nirudi kesho niliporenew sema nimepoteza imani nao nadhani 4000 yangu imekwisha potea.
 
Tatizo hii mitandao ya simu sio reliable kabisa.

Unaweza kuhamia Airtel halafu ukafika huko wakaanza kukuzingua kama Vodacom.

Nilikuwa mteja wa tigo toka wakati inaitwa buzz ni bomba, niliwasababishia usumbufu mkubwa sana wale waliokuwa na simu yangu.

Nimeamua kutohama tu japo internet ni kichomi siku hizi.

Kaka kwa internet tigo wametisha na 4G yaani unatiririka tu hata movie unawatch online hebu wajaribu
 
Mna hoja ila:
a) hampendi kufuata sheria na taratibu.Alichokupa ni taratibu za kufuata ambazo ni sahihi.simu zinamambo mengi siku hizi. Huwezi kubadili kama pipi unayotafuna
b) mnataka short cut
c) Mnaogopa polis wakati hawa ni watumishi wetu.mna walakini
d) mnachanganya mada.Bakini kwenye subject matter ya mwandishi na siyo story za nyuma.
 
Voda wana dharau sana kuanzia wakurugenzi wao hadi wafanyakazi wao
Hawana customer care nzuri, Naskia sahv wameitoa uhuru intenet ile ya tsh 1000
Bora wakimbiwe tu
Nilibakia voda sababu ya uhuru internet ,ila kwa sasa nimetupa hadi laini yao. Wa hovyo sana
 
Mama yangu alikatiwa lani ya voda vibaya a kawa ana umwa nime enda mako maku ya voda eti wana sema mpaka wamwone vitambulisho vi3 vya kwake ninavyo lakini walikata hapo hapo nili itupa nampaka leo hatu taki voda
 
Hivi mpaka sasa kuna watu wanahangaika na hawa majambazi wanaojiita vodacom
 
Voda wana dharau sana kuanzia wakurugenzi wao hadi wafanyakazi wao
Hawana customer care nzuri, Naskia sahv wameitoa uhuru intenet ile ya tsh 1000
Bora wakimbiwe tu
Nilishasema tena humu hao ni wezi wa mchana kweupee!
 
Mkuu umeshindwa kujiongeza walikua wanataka kitu kidogo
Hata picha hujaona?
 
Mi nilipewa hio form nikawa najaza kinachokuja akilini kiwe cha kweli au laah! Mtu unaulizwa bundle ya mwisho ulinunua lini na iliisha saa ngapi, voda mafala sana
 
Nilishasema tena humu hao ni wezi wa mchana kweupee!
Wezi wezi wezi wezi wakubwa mchana kweupe....bora vibaka wanaojifichaga hawa hawafai....naweka hela nazima na data inaisha hapo hapo....yaani hawa kampuni nzima wataenda motoni kama hawatabadilika.
 
Si kwamba ni utaratibu wa TCRA? Maana wizi wa kutumia simu umekithiri sana.

Pia ni muhimu ukaripoti polisi upotevu wa simcard yako, maana inaweza kutumika vibaya halafu ikakuletea shida nyingine tena. Loss report ya polisi inakusaidia wewe endapo simu yako au simcard/namba yako ikijatumika kwenye uhalifu.

Lakini kwa vyovyote vile urasimu unakera sana.
Mimi nilikuwa na case kama hiyo lakini ilikuwa ni PUK nikaenda ofc za Tigo Mtwara, eti kupewa PUK hadi niwe na kitambulisho, namba 5 na hiyo line iliyokufa PUK niwe nayo. Mimi nadhani huu sio mwongozo wa wao bali ni wahudumu wajinga wanafanya mambo yawe complicated
 
Mi najipanga niwafate huko huko makao makuu, walimpa laini yangu mtu mwingine wakati hadi sasa sielewi kuhusu hela zangu za M-pawa inakuwaje
 
Si kwamba ni utaratibu wa TCRA? Maana wizi wa kutumia simu umekithiri sana.

Pia ni muhimu ukaripoti polisi upotevu wa simcard yako, maana inaweza kutumika vibaya halafu ikakuletea shida nyingine tena. Loss report ya polisi inakusaidia wewe endapo simu yako au simcard/namba yako ikijatumika kwenye uhalifu.

Lakini kwa vyovyote vile urasimu unakera sana.
Kuna haja gani ya kureport polisi kama mtu ameshareport kwenye ofisi zao, kwanini wasiiblovk mara moja.

Sema nahisi kuna tatizo la database au system zao kwamba haiwezi kuirecognize hiyo namba hadi ukumbuke watu watano, unaanzaje kukariri namba tano.

Hapo ndipo ukiritimba unapoanzia na majibu mabovu. Wanakuona we mjiiinga kisa umeenda ofisin kwao. Hawajui umetoka wapi.

Vidacom badirikeni mi mwenyewe washanikeraga nikawahama..
 
Heshima sana wanajamvi,

Wiki mbili zilizopita simu yangu ilikwapuliwa na watoto wa mjini kwakuwa nilikuwa na safari nyingi nje ya mkoa sikupata nafasi ya kurenew line yangu.

Leo nikaamua kwenda ofisi za Voda Uhuru road kwanza nikakutana na foleni kubwa kiofisi kidogo hewa gongana nikataka kuondoka lakini nikaona isiwe taabu ngoja nikomae.Kwanza nikapewa fomu nikatakiwa kujaza simu tano za mwisho,m pesa tano za mwisho,sijui kifurushi cha internet......Mara kitambulisho nikamaliza kupeleka fomu kwa mdada mwenye maringo ya kijinga kaona ajira ya Voda mali sana imemwezesha kupaka wanja na kubadili vigauni vya mtumba kabonyeza bonye computer kanirejeshea fomu namba za watu wa mwisho kuongea nao tatu sio sahihi nikamwambia kwakuwa mbili ni sahihi na simu iliibwa wiki mbili zilizopita si rahisi kukumbuka zote.Kachukua fomu kaandika loss report nenda polisi wakakujazie ebo nikamwambia nani kakwambia nina muda mchafu kwani Voda ipo yenyewe kwa taarifa yako nina line nyingine za mitandao 3 hizi si zama za TTCL na ukiritimba za enzi za Mwl nikachana fomu nikaitupia kwenye dustbin nikamwambia Vadacom kwaheri.

Masharti ya kupata line mpya iwapo simu imepotea/imeibwa yamekaa kizamani sana kama taarifa zangu zipo sahihi eg kitambulisho nilichosajilia simu,majina na nk yapo sawa kwanini wanaleta urasimu wa kuangaisha wateja.
wanaokimbiza wateja ni wale wahudumu,hawana polite language kwa wateja,wamesahau kuwa mitandao inazidi kuongezeka wao bado wamestiki kwenye enzi za ttcl mtandao mmoja,wajiangalie.
na wakubwa wao wapunguze mashart yasiyo na maana mara namba tano ulizoongea nazo mara ya mwisho,utazikumbukia wapi?la muhimu kama ulivyosema mwanajamvi ajiridhishe na kitambulisho cha kusajilia na majina hata kumi yaliyomo kwenye cm iwe imetosha,
 
Back
Top Bottom