Goodmsoka
Senior Member
- Apr 1, 2015
- 161
- 53
Ndugu pole sana yamenikuta hata mm niliazia voda shop k/ manyanya wakazingua ivyoivyo nikasema ngoja niende mlimani huko ndio nilikitana na viroja maswali yote nikapatia cha ajabu akanimbia hujapiga simu muda mrefu kama miezi miwili ila mpesa unatumia marakwa mara sawa akasema sasa andika barua upeleke kwa meneja nikamwambia Dada kwani naomba kazi kwenu nikachana karatasi uyo nikatembea zangu wanazingua mbaya foleni kibao