gnassingbe
JF-Expert Member
- Jun 14, 2015
- 4,826
- 3,585
Eti nenda Polisi kaandikiwe loss report sijui wanafikiri tuna muda mchafu.Polisi mtu unakwenda kama kuna issue ngumu si mahali pa kwenda hovyo hovyo na vi issue vya kijinga.
Pole mi nilireneaw hivi karibuni laini yangu wakaniambia baada ya masaa arobaini na nane piga huduma kwa wateja nikapiga maswali ya huko ya kawaida sasa likaja umereneaw laini tarehe ngapi nikamwambia hiyo itakuwa ngumu kukumbuka manake hata karatasi niliyojaza nimeiacha palepale jibu likawa sitaweza kukuhudumia maswali mengine nimeyajibu sahihi hilo moja tu huduma hamna nilikwazika sana lakini tutafanyeje sasa MTEJA VODA KWAO NI MBWA TU!