Liverpool VPN
JF-Expert Member
- Aug 29, 2020
- 5,884
- 13,226
Baada ya kukosa nafasi ya kupiga kura 28/10/2020 niliumia sana kutomchagua mpinzani Mhe. Tundu Lissu.
Ila kwa yaliyotokea leo nadhani hata ule uchungu umeisha woteee.
1. Viti maaalumu wamepewa.
2. Tundu yupo Ubelgiji anakula soseji.
3. Maalimu Seif soon atakubali kuwa makamu wa raisi.
Kwahili naomba nijivue.
Yaliyotokea kwa Lowassa nilijipa moyo na kumuona msaliti nikaendelea kukomaa na CHADEMA.
Nilihatarisha utumishi wangu wa umma mara mbili kisa CHADEMA.
Ila kwa yaliyotokea leo DUUH SIASA BASI.
Muda wangu bora nipoteze kushabikia Liverpool na Yanga.
Na bila kusahau kutafuta hela.
Nimekuwa mwanachama wa CHADEMA tokea 2010 ila kwa mliyofanya leo CHADEMA duh
I'm DONE.
#YNWA
Ila kwa yaliyotokea leo nadhani hata ule uchungu umeisha woteee.
1. Viti maaalumu wamepewa.
2. Tundu yupo Ubelgiji anakula soseji.
3. Maalimu Seif soon atakubali kuwa makamu wa raisi.
Kwahili naomba nijivue.
Yaliyotokea kwa Lowassa nilijipa moyo na kumuona msaliti nikaendelea kukomaa na CHADEMA.
Nilihatarisha utumishi wangu wa umma mara mbili kisa CHADEMA.
Ila kwa yaliyotokea leo DUUH SIASA BASI.
Muda wangu bora nipoteze kushabikia Liverpool na Yanga.
Na bila kusahau kutafuta hela.
Nimekuwa mwanachama wa CHADEMA tokea 2010 ila kwa mliyofanya leo CHADEMA duh
I'm DONE.
#YNWA