mwenyenchi
JF-Expert Member
- Nov 10, 2011
- 657
- 189
Nyoumbou
Kuna msemo heri lawama kuliko fedhea... Mbowe alishasoma fedhea inayokuja, imagine unaingia mtaani na watu kumi wanaokuunga mkono wengine wapo pembeni wanashangaa na kuchukua picha za kurusha insta na fb... Kiukweli Chadema ya leo sio Chadema ya Dr Slaa.. Kuna siku mtakuja kumkumbuka Slaa japo leo mnamtusi matusi yote ila kile kichwa kilishafanya calculations na kuona yote haya wakati nyie mnawaza kura za ulipo tupo.
Achana na hao makamanda. Leo wana hasira kweli kweli.
Vuta pumzi mkuu , rudi nyuma na jitafakari , kuahirisha si kuacha au kushindwa , mimi binafsi nimepata hasara ya karibu hela ya madafu 2.7 mil kwa ajili ya maandalizi .
We kibaka wa kariakoo unataka kuporaVuta pumzi mkuu , rudi nyuma na jitafakari , kuahirisha si kuacha au kushindwa , mimi binafsi nimepata hasara ya karibu hela ya madafu 2.7 mil kwa ajili ya maandalizi .
Umehama chadema kama katika soka ulivyotuhama arsenal??