Nimeamua kuachana na CHADEMA

Nimeamua kuachana na CHADEMA

Mkuu nilishawahi kusoma post zako za nyuma,ulikua muhimili wa CuF Arusha,vipi ukirudi cuf?

Duh CUF ina watu wake tena wanajulikana sema unataka kunichonganisha tu.

img-20160828-wa0037-jpg.389346


Mimi sijui hata kanzu inavaliwaje.
 
Mbona watu Kama nyinyi chadema hawana sasa unavyodai unahama tunashangaa ulikuwa chadema ipii, wewe ni Lumumba mnae ishi kwa buku Saba na mnajipa kiburi kwa kutegemea polisi huna haja ya kumkubali mboe kwa lolote lile.

Umezoea kukariri lini na wapi nimesema nilikuwa CHADEMA ???????.Soma tena bandiko langu bila kengeza la uvyama.
 
Kuna msemo heri lawama kuliko fedhea... Mbowe alishasoma fedhea inayokuja, imagine unaingia mtaani na watu kumi wanaokuunga mkono wengine wapo pembeni wanashangaa na kuchukua picha za kurusha insta na fb... Kiukweli Chadema ya leo sio Chadema ya Dr Slaa.. Kuna siku mtakuja kumkumbuka Slaa japo leo mnamtusi matusi yote ila kile kichwa kilishafanya calculations na kuona yote haya wakati nyie mnawaza kura za ulipo tupo.

 
Back
Top Bottom