Mpinzani, au mwajiriwa wa kitengo akifanya kazi zake upinzani?
Dr Slaa ni mpinzani ataebaki kama mfano kwa miaka mingi sana.. Tuombe uzima tu!
Dr Slaa ni mpinzani ataebaki kama mfano kwa miaka mingi sana.. Tuombe uzima tu!
Hapo kwenye msisitizo - kwani sasa walichokuwa wanapigania kimebadilika?Eboo nimekwambia sina chama wala sikuwa na chama,nilipenda na kukubali walichokuwa wakipigania CHADEMA.
Kuna msemo heri lawama kuliko fedhea... Mbowe alishasoma fedhea inayokuja, imagine unaingia mtaani na watu kumi wanaokuunga mkono wengine wapo pembeni wanashangaa na kuchukua picha za kurusha insta na fb... Kiukweli Chadema ya leo sio Chadema ya Dr Slaa.. Kuna siku mtakuja kumkumbuka Slaa japo leo mnamtusi matusi yote ila kile kichwa kilishafanya calculations na kuona yote haya wakati nyie mnawaza kura za ulipo tupo.
wamekuelewa mkuu...Umehama chadema kama katika soka ulivyotuhama arsenal??Manchester United FC
Hahahah ataanzaje kuandamana peke yake?Mkuu ka una uchungu na nia ya dhati siuandamane tu kwanini usubirie wengine. Ji sacrifice tu
Umeanzia kuisapoti kwenye UKUTA? Au ulikuwa mwanaCHADEMA tangu zamani?Eboo nimekwambia sina chama wala sikuwa na chama,nilipenda na kukubali walichokuwa wakipigania CHADEMA.
Sababu walizotoa kuahirisha nadhani zina mashiko lakini ishu ya mustakabali wa wale walio mahabusu ndio wanatakiwa washikie bango waachiwe.!Walitakiwa kukipigania hata kama ni kumwaga damu hawakutakwa kurejea nyuma.
Kadi yao usisahau kurudisha.....oooh sorry umesema hukuwa mwanachama wao Bali uliwaunga tu mkono.!Hakuna namna ukiona jambo linakukera unasepa watu wanawaacha wanawake tena kwa viapo itakujakuwa chama !.
Kina Mbowe wenyewe wanagombea kila uchaguzi kwa sababu wanaujua utamu wa maisha mazuri. Nani haogopi kufa?Heshima kwenu wanajamvi,
Leo tarehe 31/08/2016 nimeamua kuachana na CHADEMA na kujishuhulisha na masuala ya michezo tu hasa mpira wa miguu.
Nilikuwa shabiki wa siasa bila kuunga mkono chama chochote cha siasa,kama mtanzania hata kama si mpenzi wa vyama bado nilikuwa na wajibu wa kuunga mkono jambo ninaloliona lina manufaaa kwa taifa.Tamko la viongozi wa CHADEMA la kututaka tuandamane nilikubaliana nalo kwa asilimia 100%, kwasababu madhumuni yake yalikuwa kupigania utawala wa sheria,kulinda uhuru wa kupasha habari,uhuru wa kusikia maoni kutoka vyama vyote si chama kimoja tu uku vingine vikizuiliwa hii ni hatari sana.
Viongozi wa CHADEMA walitangaza rasmi tarehe 01/09/2016 yangefanyika maandamano na mikutano nchi nzima.Makamanda walitumwa sehemu mbali mbali za jamhuri ya Tanganyika (Zanzibar ni nchi nyingine hainihusu) Ngongo na wapigania demokrasia hawakuhitaji kuhamasishwa na makamanda toka makao makuu tayari tulishafanya maandalizi ya kutosha ikiwa ni pamoja na kufanya mazoezi ya kukimbia kilometa kumi kila siku asubuhi ili kuuweka mwili katika hali ya utayari kukabilia na nginja nginja ya Polisi.
Tulishanunua mafuta (sina uhakika kama yangesaidia) kwaajili ya kuilinda ngozi dhidi ya maji ya washawasha,tulisha nunua miwani isiyopitisha hewa kwaajili ya kujilinda na mabomu ya machozi (sina hakika kama zingesaidia) kwa ujumla maandali yalikuwa yamefikia 95% ghafla bini vuuu Kamanda anahairisha maandamano ?
Hii haikubaliki nasema haikubaliki kabisaa lazima viongozi watambue wajibu wao katika kila matamko yao si unatamka leo hivi kesho unatenda vingine.
Mwezi mmoa aliotoa kamanda wetu Mbowe hauna maana makamanda wameswekwa rumanda, wanachama na wapenzi wamejiandaa vya kutosha hatuna uhakika na hizo siku 30.
Ngumu kumeza hiyo naelewa.Mpinzani, au mwajiriwa wa kitengo akifanya kazi zake upinzani?
Kama unaona CHADEMA wamefanya kosa kuhahiirisha maandamano na Kama unaona yanafaida hakuna asiyependa faida wala CHADEMA hawajakukata miguu tarehe 1 ikifika komaa beba unachoona kinafaa ingia barabarani andamana mkuu.Heshima kwenu wanajamvi,
Leo tarehe 31/08/2016 nimeamua kuachana na CHADEMA na kujishuhulisha na masuala ya michezo tu hasa mpira wa miguu.
Nilikuwa shabiki wa siasa bila kuunga mkono chama chochote cha siasa,kama mtanzania hata kama si mpenzi wa vyama bado nilikuwa na wajibu wa kuunga mkono jambo ninaloliona lina manufaaa kwa taifa.Tamko la viongozi wa CHADEMA la kututaka tuandamane nilikubaliana nalo kwa asilimia 100%, kwasababu madhumuni yake yalikuwa kupigania utawala wa sheria,kulinda uhuru wa kupasha habari,uhuru wa kusikia maoni kutoka vyama vyote si chama kimoja tu uku vingine vikizuiliwa hii ni hatari sana.
Viongozi wa CHADEMA walitangaza rasmi tarehe 01/09/2016 yangefanyika maandamano na mikutano nchi nzima.Makamanda walitumwa sehemu mbali mbali za jamhuri ya Tanganyika (Zanzibar ni nchi nyingine hainihusu) Ngongo na wapigania demokrasia hawakuhitaji kuhamasishwa na makamanda toka makao makuu tayari tulishafanya maandalizi ya kutosha ikiwa ni pamoja na kufanya mazoezi ya kukimbia kilometa kumi kila siku asubuhi ili kuuweka mwili katika hali ya utayari kukabilia na nginja nginja ya Polisi.
Tulishanunua mafuta (sina uhakika kama yangesaidia) kwaajili ya kuilinda ngozi dhidi ya maji ya washawasha,tulisha nunua miwani isiyopitisha hewa kwaajili ya kujilinda na mabomu ya machozi (sina hakika kama zingesaidia) kwa ujumla maandali yalikuwa yamefikia 95% ghafla bini vuuu Kamanda anahairisha maandamano ?
Hii haikubaliki nasema haikubaliki kabisaa lazima viongozi watambue wajibu wao katika kila matamko yao si unatamka leo hivi kesho unatenda vingine.
Mwezi mmoa aliotoa kamanda wetu Mbowe hauna maana makamanda wameswekwa rumanda, wanachama na wapenzi wamejiandaa vya kutosha hatuna uhakika na hizo siku 30.
chama chetu sikivu kimewasikia viongozi wetu wa dini natunawaheshimu si kama yule anaye omba kuombewa lakini ni mkaidi akiitwa na viongozi haoEboo nimekwambia sina chama wala sikuwa na chama,nilipenda na kukubali walichokuwa wakipigania CHADEMA.
Umeanzia kuisapoti kwenye UKUTA? Au ulikuwa mwanaCHADEMA tangu zamani?
kwani amesema alikuwa mwanachama wa chama fulani au kuna post nyingine umesoma zaidi ya hii??Unahamia chama gani ndugu Ngongo?