KENZY
JF-Expert Member
- Dec 27, 2015
- 26,175
- 56,767
Msanii yupo jukwaani halafu anauliza "Oya Machizi vipi...?!!"
sasa sikia mashabiki wanavyojibu et ni fresh tu!!
msanii anahoji tena "machizi mko poa..?!!"
sasa mashabiki kwa yowe la kutosha wanajibu tuko poaaaa!!! jamani jamani jamani kweli hii nchi si ya mchezo mchezo
sasa sikia mashabiki wanavyojibu et ni fresh tu!!
msanii anahoji tena "machizi mko poa..?!!"
sasa mashabiki kwa yowe la kutosha wanajibu tuko poaaaa!!! jamani jamani jamani kweli hii nchi si ya mchezo mchezo