gnassingbe
JF-Expert Member
- Jun 14, 2015
- 4,826
- 3,583
Ushakuwa wimbo wa taifa sasa.
Nakumbuka kupitia vyombo vya habari tulijulishwa Tanesco wako ktk hatua za mwisho kuunganisha gesi ili umeme kukatika iwe ni historia, lakini hilo limeshindikana, sijui tatizo gani tena. Hatuna umeme muda mwingi mchana na usiku. Tanesco toeni taarifa yenye uhakika.
Mkatiwe tu ninyi kwa nini? Huku nilipo umeme mda wote upo hata walivyokua kwenye matengenezo tunawashukuru Tanesco kwa kutokata umeme kabisa.
Kununua sora mkuu alikuwa na maana ya kuacha mazoea ya kung,ang,ania kitu kisichofaa kwa hiyo ufanye mabadiriko​ ununue kitu kipya na nitafanya hivyo tarehe 25/10 kwa kuibwaga CCMKununua solar maana yake nini.
Ha ha he he nimecheka sana mkuu !!Weeee!weeee! tema mate chini?Uchuro huo mie niliwahi kumbeza mtu wa ukonga humu haikupita hata masaa mawili wakakata ukaja kurudi baada ya masaa kumi na mawili.
Ndiyo walivyoumbwa kusema uongo, kwa hiyo waache tu kwa maana hakuna namna nyingine ya kuwabadilisha
Tanesco inakera sasa na haya mambo ya kampeni hatupati fursa kupata uhondo wa habari
Nipo Tunduma umeme unakuwepo usiku tu, mchana hamna .
Kununua solar maana yake nini.