Daaah msitufanyie hivyo wanaume hatufananiHichi kimenitokea siku si nyingi yani nimemfumania live na hii si mara moja japo nishafumania mara nyingi lakini aliomba msamaha na maisha yakasonga. Lakini hii ya juzi kali badala ya kuomba msamaha kaishia kuniambia kama nimemchoka nimuache atapata wengine.
Dah eeh Mungu nisaidie nipite salama katika hili japo nishaamua ni no turning back tena ila maumivu nayopata ni Mungu tu anajua.But sitakuja kumuamini kiumbe anayeitwa mwanaume chini ya jua maana many of them wako na roho za kisatanic.
Pole sana, lakini bado huna sababu ya kulaumu wanaume wote kwa ajili ya wachache uliowaona. Dunia inawanaume wengi sana, wewe hujakutana hata na 1%.Hichi kimenitokea siku si nyingi yani nimemfumania live na hii si mara moja japo nishafumania mara nyingi lakini aliomba msamaha na maisha yakasonga. Lakini hii ya juzi kali badala ya kuomba msamaha kaishia kuniambia kama nimemchoka nimuache atapata wengine.
Dah eeh Mungu nisaidie nipite salama katika hili japo nishaamua ni no turning back tena ila maumivu nayopata ni Mungu tu anajua.But sitakuja kumuamini kiumbe anayeitwa mwanaume chini ya jua maana many of them wako na roho za kisatanic.
Hatuna tofauti we umeacha mahali ila nami ilikuwa ni mtu ambaye tushatambulishana pande zote na kama mipango ingekwenda sawa ilikuwa tufunge ndoa mwishoni mwa mwaka huu but kisicho ridhiki hakiliki.jikaze mama.
haya mambo hayaa yamefanya niache mtu na mahari nmelipa.dadeki.
Hapa nilicho kielewa toka kwako ni kuachana na mpenzi wakoHichi kimenitokea siku si nyingi yani nimemfumania live na hii si mara moja japo nishafumania mara nyingi lakini aliomba msamaha na maisha yakasonga. Lakini hii ya juzi kali badala ya kuomba msamaha kaishia kuniambia kama nimemchoka nimuache atapata wengine.
Dah eeh Mungu nisaidie nipite salama katika hili japo nishaamua ni no turning back tena ila maumivu nayopata ni Mungu tu anajua.But sitakuja kumuamini kiumbe anayeitwa mwanaume chini ya jua maana many of them wako na roho za kisatanic.
Sikuja hapa kutafuta mwanaume ila kupunguza maumivu yangu.Na ndo mana hata PM yangu nimefunga sababu nililihisi hili maana wengine katika maumivu ya wengine huwa mnaona ndo sehemu ya kuongezea maumivu.njo kwangu bibie!!!, nikupetipeti,nikuliwaze na kukupoza kamoyo.Hakika hutojutia maaumuzi yako nakuapia.
Inawezekana kweli ila ni bora angeniambia mapema kuliko mda alionipotezea na aibu alonitia kama alijua hilo alinipeleka kwa wazazi wake kufanya nini alikuja na kwa wazazi wangu kufanya nini.Hapa nilicho kielewa toka kwako ni kuachana na mpenzi wako
Na kingine ni kuto mwamini mwanaume
Mwanaume ni moja ya nguzo mhimu katika mahusiano
Je usha wahi kujiuliza amekosa nini kwako anacho kitafuta nje
Hapo we ni chanzo cha kuchepuka