Helo swetie.baby hajambo? Eti mpenzi anafumaniwa?Katika ubora wako mpenzi
hahaha!!umeona eeh!! kwema lakn mkuu.
Pole dada kwa yaliyokukuta. Hiyo ni mitihani tu yakimaisha. Binafsi nilishapitia majarib kama ya kwako, niliumia sana mpaka leo majeraha hayaja pona.Hichi kimenitokea siku si nyingi yani nimemfumania live na hii si mara moja japo nishafumania mara nyingi lakini aliomba msamaha na maisha yakasonga. Lakini hii ya juzi kali badala ya kuomba msamaha kaishia kuniambia kama nimemchoka nimuache atapata wengine.
Dah eeh Mungu nisaidie nipite salama katika hili japo nishaamua ni no turning back tena ila maumivu nayopata ni Mungu tu anajua.But sitakuja kumuamini kiumbe anayeitwa mwanaume chini ya jua maana many of them wako na roho za kisatanic.
Yani mtu unafumania mara kibao alafu bado unakaa hapo, taa nyekundu haiwaki tu.!Kuna Maradhi Mengine huwa mnajitakia wenyewe
Kwann asifumaniwe mpenzi siku hizi ni zaidi ya mume kwa mkeweHelo swetie.baby hajambo? Eti mpenzi anafumaniwa?
mambo ni safi Mungu anasaidiahahaha!!umeona eeh!! kwema lakn mkuu.
hahahahaha!!! nimecheka sn aisee!!Kwa hivi vingereza vyako vya bongo muvi utaachwa sana tu
Rosalie Mungu alikuletea ujumbe tangia mwanzoni lakin hukutaka kusikiliza.Inawezekana but what I beleive ni kuwa kila jambo na wakati wake sitalia daima.
Pole sana ila hujamfumania umemkuta anafanya mapenziSio mume wangu ila mtu ambaye tushatambulishana pande zote na mpaka kwa wachungaji kanisani na mahari ilikuwa iletwe mwezi wa saba lakini katika yote bado sawa nakubali sistahili kujipa uhalali wa umiliki.
Kiukweli kuna watu wengine ukimuuliza kwanini umemuacha yule utakuta hana sababu kabisa.Kwani hakuna wanawake wenye tabia hizo za kucheat? Iweje useme "wanaume most of them wana roho za kisatanic?"
Kabla ya kulaumu wanaume jaribu kujitafakari,nini kimepungua kwako mpaka huyo jamaa yako akucheat?
Tatizo ni nini mpaka akucheat? Kuna kitu anakosa kwako ndio maana kaenda kukitafuta kwa mwingine na ulitakiwa ulitambua hilo toka ulivyomkamata akikucheat mwanzoni kabisa.
Mi mpenzi siwezi kumfumania namuacha na raha zake bnaKwann asifumaniwe mpenzi siku hizi ni zaidi ya mume kwa mkewe
Mke anaweza asihangaike alipo mumewe lakini mpenzi akahangaika alipo mwenziwe
Always, nina theory moja kwamba mpenz wako aki ku cheat mara ya kwanza. Ukamsamehe, ukampenda tena. Atakucheat mara ya pili na ya tatu, ni suala la muda tu.Tatizo lako ni kumuamini mtu baada ya kosa la kwanza, unapoumizwa kwenye mahusiano na mtu endapo ikatokea ukarudiana nae basi inabidi uwe makini saaaana. Usimpende kama ulimvyompenda mara ya kwanza, narudia tena kuwa makini saaaana urudianapo na mtu.
Na ndio maana siku zote unatafuta mdogo wangu,bado hujapata ukipata utamfumania tuMi mpenzi siwezi kumfumania namuacha na raha zake bna
Hv ushapata mpenziAlways, nina theory moja kwamba mpenz wako aki ku cheat mara ya kwanza. Ukamsamehe, ukampenda tena. Atakucheat mara ya pili na ya tatu, ni suala la muda tu.
BadoHv ushapata mpenzi
Hv ushapata mpenzi