Kama kweli Speed ya Lowassa hakuna binadamu yeyote yule awezaye kuizuia
Basi huyo Lowassa sio bindamu wa kawaida ni MASIHA.
Kama Lowassa ni MASIHA basi UFALME wake sio wa hapa duniani bali MBINGUNI.
Sasa kama UFALME wake ni wa mbinguni kwanini Lowasaa anahangaika sana na ufalme wa hapa duniani?
Basi huyo Lowassa sio bindamu wa kawaida ni MASIHA.
Kama Lowassa ni MASIHA basi UFALME wake sio wa hapa duniani bali MBINGUNI.
Sasa kama UFALME wake ni wa mbinguni kwanini Lowasaa anahangaika sana na ufalme wa hapa duniani?