Ndg wana jamvi usiku wa kuamkia leo nimejikuta nikikubwa na ndoto ambayo nimeshuhudia Mh. Lowassa akipita kwa kishindo ktk kura za maoni Dodoma na kuamsha shamrashamra kila kona ya nchi. {Si kawaida yangu kuota wana siasa zaidi ya pilikapilika zangu}. Je ndoto hii ina ukweli? NB: Sitarajii matusi na kejeli.
Ndg wana jamvi usiku wa kuamkia leo nimejikuta nikikubwa na ndoto ambayo nimeshuhudia Mh. Lowassa akipita kwa kishindo ktk kura za maoni Dodoma na kuamsha shamrashamra kila kona ya nchi. {Si kawaida yangu kuota wana siasa zaidi ya pilikapilika zangu}. Je ndoto hii ina ukweli? NB: Sitarajii matusi na kejeli.
yaaani nimechekajeee!!! hahahahahaaaa!!!! we ni ZOMBI KWELI
hii mada niliiposti usiku wa kuamkia tarehe 22 oct 2013 sikutegemea kuwa kuna taasisi kama twaweza wanaweza kuja na takwimu iliyosawa na ndoto yangu. Mungu mkubwa,tutaheshimiana tu.
Nakupenda
Lowassa nakusubiri upitishwe nikupe kura yangu!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
hahaaaMm ni cdm toka moyoni ila kwa ndoto yako naipa % zaid ya 100 na iwe hivyo