Nimeamini kweli pesa ndo kila kitu

Nimeamini kweli pesa ndo kila kitu

Siku zote mwenye pesa ni kama mfalme anaweza kupata marafiki wengi na kuchagua mwanamke yeyote anayetaka, kuna jamaa yangu mmoja tunakaa nae ameowa mwanamke mshombeshombe sio siri yule dada ni mzuri sana ameishi nae saizi takriban miezi saba, jamaa yangu yeye nimfanyabiasha wa mazao rejareja ananunua debe anauza rejareja na huyo mwanamke wake alimuanzishia biashara ya mkaa wameishi pamoja katika shida na raha lakini ametokea pedeshee mmoja mwenye pesa zake amemrubuni akamuacha jamaa na saizi amemuoa ,sio siri maisha ya yule dada yamebadilika sana kwa sasa anatembelea gari kali kweli na kakolea kweli kwa jamaa hasikii wala haoni, jamaa yangu amechizika hatamani kuoa tena
Kweli nimeamini pesa inapenyeza sehemu yeyote ile jamani wanaume tutafute pesa wakuu
Hata mi wamenibebea juzi juzi tu hapa..pumbav san aliye niibia..
 
Haya mambo mjue yanatokea sana.

Na matukio ya hivi ni mengi mno.

Watu washanyang'anywa WAKE zao nje ya Nchi.

Yaani MTU anaishi nje kaoa BONGO, anamgharamia MKE kumleta/kumpeleka KIWANJA.

MKE akishafika KIWANJA, ushamba ukishamtoka na akishakuwa mwenyeji, NJEMBA za viwanjani wanachukua MALI za watu kiulaini.

Mwingine unakuta walishaoana KIBONGOBONGO, na MUME anatangulia NJE kwenda tafuta MAISHA. Mambo yakishatengemaa MUME anaamua kumvuta Mkewe KIWANJANI na ni kwa nia njema tu, na pengine walishabahatika kupata hata Watoto Maisha ya KIBONGOBONGO. Cha ajabu MKE akishakuwa mwenyeji NJEMBA wanajichukulia kiulaini.

Udhaifi wa MOYO ni kitu kibaya sana.

Tamaa ni kitu kibaya sana.

Mthamini ulietoka nae mbali Kimaisha, hata kama hali yake Kimaisha si nzuri ni bora kuvumiliana tu.

Mtu wako mvumilie aendelee KUCHAKALIKA ipo siku kitaeleweka tu
 
Siku zote mwenye pesa ni kama mfalme anaweza kupata marafiki wengi na kuchagua mwanamke yeyote anayetaka, kuna jamaa yangu mmoja tunakaa nae ameowa mwanamke mshombeshombe sio siri yule dada ni mzuri sana ameishi nae saizi takriban miezi saba, jamaa yangu yeye nimfanyabiasha wa mazao rejareja ananunua debe anauza rejareja na huyo mwanamke wake alimuanzishia biashara ya mkaa wameishi pamoja katika shida na raha lakini ametokea pedeshee mmoja mwenye pesa zake amemrubuni akamuacha jamaa na saizi amemuoa ,sio siri maisha ya yule dada yamebadilika sana kwa sasa anatembelea gari kali kweli na kakolea kweli kwa jamaa hasikii wala haoni, jamaa yangu amechizika hatamani kuoa tena
Kweli nimeamini pesa inapenyeza sehemu yeyote ile jamani wanaume tutafute pesa wakuu
Hiyo ni mentality mbaya. What happen ni kuwa demu mwenyewe hakuwa na msimamo na hakumpenda mchizi. Kilitokea ni kwamba, huyo dem alikuwa anatafuta unafuu wa maisha... na amekutana na kwa vile jamaa ameshindwa, basi katokea mtu aliyepanda dau dem kaenda.

Mwambie jamaa atafute mwanamke mwenye akili na malengo,mostly wanae fanana naye. Hilo lilikuwa c fungu lake
 
Aloooh dah hamna kitu kinauma kama pesa ikitumika kufanya dhulma ya aina yeyote ile. Its amongst the deadliest pains that a man could ever face in his entire life.
Pesa shetani jamani, what a life unanyang'anywa mke and you won't do shit maana nguvu iliotumika ni ya pesa na wewe huna sio rahisi.
Man almost initokee hiyo kitu but nika bale out mapema. Nisikufiche kaka maumiv yake hayaelezeki, youknow si haki but you cant do anything. Unabaki kutazama tu..
 
Trust me, wanawake wa hivyo mara nyingi mwisho wao huwa sio mzuri, mwanzoni atafaidi kidogo ila mbeleni atajuta, am talkin from experience, wengi wanaishiaga kuambukizwa ukimwi, kutolewa kafara, kuombwa kinyume na maumbile bila ridhaa yao, kupewa maneno ya gubu yanayouma kisa pesa wanazopewa, kunyanganywa vitu na kuachwa (its worse kama alishajijengea status flan ya juu kifedha kwenye jamii) CUBICBOY
Ni kwwli kabisa man. Maybe anaweza kuwepo kushuhudia that end or not. But whatever it is huwa wanashuka viwango viwango mwishon na kuish maisha ya ajab sana.
 
Huyo dada fighter sana yani kutoka kwenye mkaa hadi kupush ndinga.. hongera zake
Hahahahaaa.. halafu hao ndo wakija mtaani wanajifanya kutufundisha kupambana kwamba alianza na mkaa mpaka kupush gari kali kumbe kapewa
 
Hahahahaaa.. halafu hao ndo wakija mtaani wanajifanya kutufundisha kupambana kwamba alianza na mkaa mpaka kupush gari kali kumbe kapewa
Hahah... basi na wenzie wanaona maisha kumbe rahisi tu ata wao wanaweza kumbe siri ya mchezo anajua yeye mwenyewe..
 
Pole saana wenzio tuliligundua hilo mapema...atuhangaiki kutafuta matatizo kwa wanawake wasiojielewa...
 
Man almost initokee hiyo kitu but nika bale out mapema. Nisikufiche kaka maumiv yake hayaelezeki, youknow si haki but you cant do anything. Unabaki kutazama tu..
Dah hongera sana man, la sivyo tungekuwa tumebaki na simanzi tu hadi sahivi!
 
Back
Top Bottom