Nimeamini kweli pesa ndo kila kitu

Nimeamini kweli pesa ndo kila kitu

Aloooh dah hamna kitu kinauma kama pesa ikitumika kufanya dhulma ya aina yeyote ile. Its amongst the deadliest pains that a man could ever face in his entire life.
Pesa shetani jamani, what a life unanyang'anywa mke and you won't do shit maana nguvu iliotumika ni ya pesa na wewe huna sio rahisi.
Na hapo unatakiwa uwe makini,ukiruhusu stress na mawazo mengi unapoteza kila kitu
 
Siku zote mwenye pesa ni kama mfalme anaweza kupata marafiki wengi na kuchagua mwanamke yeyote anayetaka, kuna jamaa yangu mmoja tunakaa nae ameowa mwanamke mshombeshombe sio siri yule dada ni mzuri sana ameishi nae saizi takriban miezi saba, jamaa yangu yeye nimfanyabiasha wa mazao rejareja ananunua debe anauza rejareja na huyo mwanamke wake alimuanzishia biashara ya mkaa wameishi pamoja katika shida na raha lakini ametokea pedeshee mmoja mwenye pesa zake amemrubuni akamuacha jamaa na saizi amemuoa ,sio siri maisha ya yule dada yamebadilika sana kwa sasa anatembelea gari kali kweli na kakolea kweli kwa jamaa hasikii wala haoni, jamaa yangu amechizika hatamani kuoa tena
Kweli nimeamini pesa inapenyeza sehemu yeyote ile jamani wanaume tutafute pesa wakuu
Yaah.Cash is KING.
 
Huyo jamaa yako asioe mshombemshombe tena hata hamini hakuna atakayemrubuni tena mke wake.
 
mwambie jamaa yako hapambane na hali yake. Uwezo wake wa debe moja kaenda kuchukua mwanamke wa shamba zima. tena ashukuru Mungu katoa mkosi kutembea na demu mkali. shombe shombe wa watu kwenda kumuuzisha mkaa.
HAA HAAA MBONA HAMNA HURUMA ...ILA SHOMBE SHOMBE NA MKAA KWELI SIKUJITAKIA KUUMWA KIFAFA TU ...LAZIMA UPORWE HAPO ...MARADHI MENGINE HUWA TWAJITAKIAGA WENYEWE TU
 
mwambie jamaa yako hapambane na hali yake. Uwezo wake wa debe moja kaenda kuchukua mwanamke wa shamba zima. tena ashukuru Mungu katoa mkosi kutembea na demu mkali. shombe shombe wa watu kwenda kumuuzisha mkaa.
sasa shombe shombe ndiyo nani mkuu ukiona mwanamke anakwenda kwa mtu tajiri bila kujua pesa kazipataje hiyo ni hatari mkuu na siku zote maisha ni mafupi na vimbwanga mno huyo jamaa alieporwa mke awe mvumilivu tu
 
Trust me, wanawake wa hivyo mara nyingi mwisho wao huwa sio mzuri, mwanzoni atafaidi kidogo ila mbeleni atajuta, am talkin from experience, wengi wanaishiaga kuambukizwa ukimwi, kutolewa kafara, kuombwa kinyume na maumbile bila ridhaa yao, kupewa maneno ya gubu yanayouma kisa pesa wanazopewa, kunyanganywa vitu na kuachwa (its worse kama alishajijengea status flan ya juu kifedha kwenye jamii) CUBICBOY
kuingiliwa kinyume na maumbile kwa hawa wanawake wa leo kwao hawaoni kuwa huo ni mwisho m'baya Bali ndio starehe yao ..labda ktika hivyo vingine ulivyo vitaja mkuu
 
Siku zote mwenye pesa ni kama mfalme anaweza kupata marafiki wengi na kuchagua mwanamke yeyote anayetaka, kuna jamaa yangu mmoja tunakaa nae ameowa mwanamke mshombeshombe sio siri yule dada ni mzuri sana ameishi nae saizi takriban miezi saba, jamaa yangu yeye nimfanyabiasha wa mazao rejareja ananunua debe anauza rejareja na huyo mwanamke wake alimuanzishia biashara ya mkaa wameishi pamoja katika shida na raha lakini ametokea pedeshee mmoja mwenye pesa zake amemrubuni akamuacha jamaa na saizi amemuoa ,sio siri maisha ya yule dada yamebadilika sana kwa sasa anatembelea gari kali kweli na kakolea kweli kwa jamaa hasikii wala haoni, jamaa yangu amechizika hatamani kuoa tena
Kweli nimeamini pesa inapenyeza sehemu yeyote ile jamani wanaume tutafute pesa wakuu
hiyo sio nguvu ya pesa huo ni ushetani hela yake ndiyo imfanye apole mke wa mtu sizani kama kuna maisha hapo labda kama jamaa ameridhia na kuto kunung'unika moyoni mwake laana ya mume au mke haiwezi kumuacha mtu salama
 
Siku zote mwenye pesa ni kama mfalme anaweza kupata marafiki wengi na kuchagua mwanamke yeyote anayetaka, kuna jamaa yangu mmoja tunakaa nae ameowa mwanamke mshombeshombe sio siri yule dada ni mzuri sana ameishi nae saizi takriban miezi saba, jamaa yangu yeye nimfanyabiasha wa mazao rejareja ananunua debe anauza rejareja na huyo mwanamke wake alimuanzishia biashara ya mkaa wameishi pamoja katika shida na raha lakini ametokea pedeshee mmoja mwenye pesa zake amemrubuni akamuacha jamaa na saizi amemuoa ,sio siri maisha ya yule dada yamebadilika sana kwa sasa anatembelea gari kali kweli na kakolea kweli kwa jamaa hasikii wala haoni, jamaa yangu amechizika hatamani kuoa tena
Kweli nimeamini pesa inapenyeza sehemu yeyote ile jamani wanaume tutafute pesa wakuu
Kwa sory ya jana kama Smart911 angalikuwa kama jamaa yako asingempata mahondaw ingawa Mzigua90 alikataa laki 6 naye angehamia kwa pedejeee
 
na
Siku zote mwenye pesa ni kama mfalme anaweza kupata marafiki wengi na kuchagua mwanamke yeyote anayetaka, kuna jamaa yangu mmoja tunakaa nae ameowa mwanamke mshombeshombe sio siri yule dada ni mzuri sana ameishi nae saizi takriban miezi saba, jamaa yangu yeye nimfanyabiasha wa mazao rejareja ananunua debe anauza rejareja na huyo mwanamke wake alimuanzishia biashara ya mkaa wameishi pamoja katika shida na raha lakini ametokea pedeshee mmoja mwenye pesa zake amemrubuni akamuacha jamaa na saizi amemuoa ,sio siri maisha ya yule dada yamebadilika sana kwa sasa anatembelea gari kali kweli na kakolea kweli kwa jamaa hasikii wala haoni, jamaa yangu amechizika hatamani kuoa tena
Kweli nimeamini pesa inapenyeza sehemu yeyote ile jamani wanaume tutafute pesa wakuu
na ndiyo maana siku hizi wanaume hawafungi ndoa kwaajili ya mambo kama haya umemtoa mwanamke alafu wababe wanakuja kukupigia tena wanakufiria kabisa
 
Haya mambo mjue yanatokea sana.

Na matukio ya hivi ni mengi mno.

Watu washanyang'anywa WAKE zao nje ya Nchi.

Yaani MTU anaishi nje kaoa BONGO, anamgharamia MKE kumleta/kumpeleka KIWANJA.

MKE akishafika KIWANJA, ushamba ukishamtoka na akishakuwa mwenyeji, NJEMBA za viwanjani wanachukua MALI za watu kiulaini.

Mwingine unakuta walishaoana KIBONGOBONGO, na MUME anatangulia NJE kwenda tafuta MAISHA. Mambo yakishatengemaa MUME anaamua kumvuta Mkewe KIWANJANI na ni kwa nia njema tu, na pengine walishabahatika kupata hata Watoto Maisha ya KIBONGOBONGO. Cha ajabu MKE akishakuwa mwenyeji NJEMBA wanajichukulia kiulaini.

Udhaifi wa MOYO ni kitu kibaya sana.

Tamaa ni kitu kibaya sana.

Mthamini ulietoka nae mbali Kimaisha, hata kama hali yake Kimaisha si nzuri ni bora kuvumiliana tu.

Mtu wako mvumilie aendelee KUCHAKALIKA ipo siku kitaeleweka tu
Kama upo kwa Madiba vile
 
HAA HAAA MBONA HAMNA HURUMA ...ILA SHOMBE SHOMBE NA MKAA KWELI SIKUJITAKIA KUUMWA KIFAFA TU ...LAZIMA UPORWE HAPO ...MARADHI MENGINE HUWA TWAJITAKIAGA WENYEWE TU
Mbona mnawapandisha chart hawa they call so shombe shombe,wapo mabint wabongo sio mixer wala nin lkn warembo hatari
 
Mbona mnawapandisha chart hawa they call so shombe shombe,wapo mabint wabongo sio mixer wala nin lkn warembo hatari
aiseee cjawapandisha chart mkuu ..kutokana na ufinyu wa uwepo wao nchini hiyo hali inapelekea kwa watu wengine kuwaona kama watu Fulani hvi adimu "" cwajua ukishazoea kula mlo wa aina moja kila siku ukiletewa mlo mwingine lazima uuone ule wazamani kuwa hauna maana
 
Baba alikuwa akiniambia ukiwa masikini kila kitu kita kuonea
Alikuwa ukinitolea mfano namna panya walivyotafuna suti yangu pendwa. Mpe pole
 
kuingiliwa kinyume na maumbile kwa hawa wanawake wa leo kwao hawaoni kuwa huo ni mwisho m'baya Bali ndio starehe yao ..labda ktika hivyo vingine ulivyo vitaja mkuu

mh mkuu, wewe ushawala tigo wadada wangapi mpaka sasa, mpaka unafika hatua ya kusema hivyo hearly
 
mh mkuu, wewe ushawala tigo wadada wangapi mpaka sasa, mpaka unafika hatua ya kusema hivyo hearly
aiseeee hili swali mbona zito ....siwezi kukujibu hapa mkuu KUNA DEMU NA MMENDEA HUMU AKIPITIA COMMENT ATANIONA MIMI FIRAUNI BIN IBILISI
 
Back
Top Bottom