hhhh tena anatoa na inspiration za mafanikio kabisa...Hahahahaaa.. halafu hao ndo wakija mtaani wanajifanya kutufundisha kupambana kwamba alianza na mkaa mpaka kupush gari kali kumbe kapewa

Ndio nawashauri wafanye hivyo maisha yenyewe ndio haya hayaKwa hiyo unawahamasisha walioolewa wa-fight nao waje kuendesha ndinga akili nyingine za ajabu sana
mwambie huyo ...maana hajui dunia iendavyosiku hizi wanawake wanao liwa matako wako wengi sana tena Dar ndiyo fasheni
hata akikupenda yeye haitosaidia kitu ..kama wote hamna Pesa ...ni bora akupnde yeye huku akiwa anapesa zake ...lakini kama anakupnda then Pesa hana na wewe huna ..daahhh tarajia maumivu maana upendo wa mwanamke hauna tofauti na mwili wa kinyonga ama pweza ....Pole yake sana, hawa viumbe sio wakuamini 100%
Japo wenye msimamo wapo, lakini wa chache sana,
Ukitaka kupata raha ya ndoa na demu mkali kama malaika na huna kitu(pesa) basi demu akupende wewe na sio eti umempenda wewe kuliko yeye ujue kabisa ipo siku utalia au kujuta
hahaaa hzo promo zenu humu hata TMZ hawaoni ndani wakasome wallahi ....yaani najiskia wivuuuuuuu .....
hebu kapumzike kwanza basiiii ...dahhHamini husihamini,pesa makaratasi
ujumbe umefika acha ku complicate maisha boya weweJifunze kwanza kuandika
Jamaa wa mazao alikuwa wapi kumzalisha huyo shombe shombe?? Unapiga mimba, kisha anatulia.Siku zote mwenye pesa ni kama mfalme anaweza kupata marafiki wengi na kuchagua mwanamke yeyote anayetaka, kuna jamaa yangu mmoja tunakaa nae ameowa mwanamke mshombeshombe sio siri yule dada ni mzuri sana ameishi nae saizi takriban miezi saba, jamaa yangu yeye nimfanyabiasha wa mazao rejareja ananunua debe anauza rejareja na huyo mwanamke wake alimuanzishia biashara ya mkaa wameishi pamoja katika shida na raha lakini ametokea pedeshee mmoja mwenye pesa zake amemrubuni akamuacha jamaa na saizi amemuoa ,sio siri maisha ya yule dada yamebadilika sana kwa sasa anatembelea gari kali kweli na kakolea kweli kwa jamaa hasikii wala haoni, jamaa yangu amechizika hatamani kuoa tena
Kweli nimeamini pesa inapenyeza sehemu yeyote ile jamani wanaume tutafute pesa wakuu