Nimeachwa..

Nimeachwa..

Thanks kivuruge girl time will heal me..sababu sijajua
Why kakuacha? Take time and relax, jichanganye na marafiki, fanya mazoezi na epuka kukaa peke yako. Mwisho mshukuru mwenyezi Mungu maana hujui amekuepushia nini. Japo itakuumiza kwa muda but after sometimes utakuwa poa. Maisha yataendelea tu
 
Pole ni mojawapo ya hatua katika ukubwa,

Lakini si wote watapitia yote hayo ila wengu hukumbana na hali hiyo.

Kila jambo lina uzuri na ubaya wake concentrate katika yale chanya yalitwayo na hali hiyo
 
Pole ni mojawapo ya hatua katika ukubwa,

Lakini si wote watapitia yote hayo ila wengu hukumbana na hali hiyo.

Kila jambo lina uzuri na ubaya wake concentrate katika yale chanya yalitwayo na hali hiyo
poa kaka asante..
 
Kupitia huu uzi nami nimepata sasa kujua kweli naweza kusihi bila yule wifi yenu niliesema nataka kuchukua maamuzi ya kumuacha kwenye ule uzi wa maamuzi magumu.

Sasa ni kama week ukimpigia hapokei na ukimtumia ujumbe hajibu. Nadhani weekend nampiga chini rasmi na ku blacklist japo sijawahi kupenda mwanamke kama ninavyompenda ila naona anatumia kigezo hicho kuniletea dharau na manyanyaso. Mwisho wako unakuja najua unapitiaga humu japo huchangiagi..
 
Mkuu mbona kakupa nafasi yakua bora than ulivyokua jana

Kakupunguzia gharama zisizokua za lazima kama vile mitoko,kumtumia credit , vizawad vya kushtukiza ,na kupoteza mda mwing bila kufanya cha malengo

Kwasasa jikite zaid ktk kukamilisha malengo yako ya kimaendeleo the right one will come along

Don't ever try to bring her back it will be even more painfull nautampa yeye zaid comfidence yakuona you can't survive without her

So its upon to you to continues engaging with her and make ur self a real loser or moving on......
 
Kuna mambo mengine huwa yananishangaza sana aiseeee......
 
Washa radio sikiliza mziki lia ukimalza futa machozi anza upya ..its ok to start a fresh
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom