Hiyo kete ngumu..hah sito icheza am sorry..but thanksJinyonge atarudi
Kwamba anatafuta kichwa humu?Mbona huu mtego ulishawahi kufunguliwa thread humu ndani?,we bado unatumia mbinu hiyo hiyo mkuu au mgeni wewe?

Wenzie wameelewa,hujaelewa??una matatizo kama yangu..i cant help..Hebu andika vizuri ueleweke!
Hatuumii,tuna mioyo ya chuma hahKumbe na nyie mnaumiaga eeeh teh teh teh teh. Polee mwaya jitahidi utazoea.
Thanks B...that's love mzee PEACEPole mkuu. Kwa sasa tuliza akili. Usiwe na haraka ya kumtafuta mbadala wake usije ukapata boya.
Haha sasa ukitongoza kila unaemuona so tatizo litakua lile lile?nadhani njia ya kutatua tatizo kumpata anaekupenda..kukuelewaTafuta girlfriend mwingine mzuri kuliko yeye. Halafu nyie wanaume mna bahati sisi tuko wengi halafu huwa mnatongoza rahisi tu kupata ukitaka.
Unatongoza unaempenda sio utongoze ilimradi.Haha sasa ukitongoza kila unaemuona so tatizo litakua lile lile?nadhani njia ya kutatua tatizo kumpata anaekupenda..kukuelewa
Hela ninazo..and huwa tunatafta ambacho hatuna..asante kwa ushauri.hah fvvk bishees,get money..playaz anthemTAFUTA HELA.
Asante tho sitokua single milele..ntampataUnatongoza unaempenda sio utongoze ilimradi.
sasa umeachwa kwa ajili ya nini?Hela ninazo..and huwa tunatafta ambacho hatuna..asante kwa ushauri.hah fvvk bishees,get money..playaz anthem
Am 26 and sina shida nae tena..I can't afford maumivu mengineDah, how old are you? Ukiwa mkubwa utawakimbia mwenyewe! Relax and move on. Trust me Atarudi kwako akiwa mzima au akiwa mfu.....
Labda hakunipenda..nili force kua naesasa umeachwa kwa ajili ya nini?
I know the pain,vile naumia sitaki mwingine aumie..Sensitive comment...better be loyal than being womanizer.
UwiiiiiNimegundua ana cheat na jamaa,kufatilia kumbe hawajaanza Leo,wala Jana.kumuuliza girl anasema yeah.. Umechelewa kujua..nkatengeneza mazingira aniombe msamaha,akawa hana habari..kumwambia tuachane..ikawa kama habari njema kwake..tho sikua tayari,wala kupanga tuachane..DAMN
Nini tenaUwiiiii
sasa huo ujanja wako inakusaidia nn? ungelia pekeako ako uko mbona unataka kulia na sisi. Ishi kihalisia and be smartkua Loyal Si ujinga,but kutokua muaminifu ndio ujinga