Hivi mnaolewaga na wanaume wa aina gan?.
Anyway, kwakua unamjua mtu wako, ulitakiwa kumpelekea ufunguo.
Kwakua Mtu yako, ni MWANAUME DHAIFU LENYE WIVU NA KERO ZISIZO MAANA basi hata kuja na rafiki yako wa kike, hakuwez kumuaminisha kua umelala Kwa rafikio maana alihisi umempanga tu .
Una Mikono?
Una miguu??
Una Akili??
Embu achaneni na kasumba ya kumtegemea Mwanaume, wanaume wa Sasa ni wapo Machoko na wakila aina..
Nyinyi Wanawake pambaneni kujikombia kiuchumi, ili yasiwatese , muwe mnaamua wenyewe kuyaacha ,mkiyaacha, yanajinyonga ,tunayazika ,yanasahaulika.
Poleeee, pamoja nakwamba umezaa,. Shukru Kwa Yote, usitafute kujirudi, wee bado mrembooooooo , Katoto Kako kamoja ndo kakupe shida??? Na unakwenu??
Embu achana nahiyo mbwaaa, Wala isikupanikisheeeee!!.