Nawasalim,
Moyo unasononeka sijapata wakunifariji,ila naamini humu kuna watu wana mioyo ya upendo.
Nawakaribisha sana.Natamani siku moja nipate mwanamke atakae nipenda mimi kama mimi nikiwa na umasikini wangu huu.
Mkuu unataka tukusaidie kuhudumia? Inawezekana ulivaa kiatu ambacho sio saizi yako, tafuta mnaeendana hutojutia kamwe. Unaishi Nyang'hwale unataka kummiliki Amber RuttyNawasalim,
Moyo unasononeka sijapata wakunifariji,ila naamini humu kuna watu wana mioyo ya upendo.
Nawakaribisha sana.Natamani siku moja nipate mwanamke atakae nipenda mimi kama mimi nikiwa na umasikini wangu huu.
Nimekusoma.usikubali izi shauli za kuwa utafute pesa kwanza ndio upendwe na mwanamke kwa sababu ukioa aliekupndea pesa ipo siku atakuzoea na kukuon wakawaida tu coz anakuwa kashazoea hela zako atanza kukuletea mazarau wew mwisho wa siku ndoa inakuwa ndoano.
utaanza kuja jukwaani umu tena kupmba ushauri mke wako kabadilika.
Na Mimi niombeeNtakuombea