Nimeachwa na mchepuko wangu mama J muda huu

Nimeachwa na mchepuko wangu mama J muda huu

Bora kutulia na mwanamke mnayeendana kimtazamo, kimatumizi nakadhalika.

Mfano wangu huyu hana neno kabisa
Screenshot_20220831-173608.png
 
Leo mida ya saa 7 mchana kanitafuta mchana na kunitaarifu kua shoga ake alokua nae Jana kaumwa anajiskia vibaya sana, niwasaidie usafir ampeleke hospital.

Nikamuuliza
"mbona Jana ulinambia uyo shoga yako kaondoka na nauli ukasema ulimpatia"
Wakati unafanya anniversary yam
Miaka 5 na mupenzi wako Kuna raia anatimiza miaka 4 humohumo
 
Leo mida ya saa 7 mchana kanitafuta mchana na kunitaarifu kua shoga ake alokua nae Jana kaumwa anajiskia vibaya sana, niwasaidie usafir ampeleke hospital.

Nikamuuliza
Mimi naombea muachane ili nimbebe mimi,maana inaonekana ni fundi sana kitandani.
 
Ha ha ha ....
Hamna, nampenda Sana mke Wang.
Sema wife katulia Hana kashikashi Kama alizonazo mamaJ[emoji4]
Na wewe unapenda kashikashi?? Sasa nani kasema wanawake hawajui nini wanataka hata wanaume hawajui nini wanataka. Mkipata mwenye kashikashi mnamtafuta mtulivu and vice versa is true. Life is wonderful.
 
Back
Top Bottom