Nimeachiwa mtoto ndani ya basi

Nimeachiwa mtoto ndani ya basi

Rafiki wa mahakama itabidi uwe rafiki wa mtoto vilevile uwe mzazi wa huyo mtoto
 
Hmm...this is weird! Yaani unakubali tu kuchukua jukumu/ uamuzi wa kumlea mtoto uliyeachiwa kwenye basi na mtu ambaye hata humjui? Je huyo mtu naye akiwa alimuiba huyo mtoto kwingine? Una uhakika gani kama huyo mama aliyekuachia huyo mtoto ndo mama mzazi wa huyo mtoto?

Ingekuwa mimi ningempeleka tu polisi na kumsalimisha huko ili taratibu za kutafuta wazazi au ndugu ziendelee.

Halafu kuna aliwahi kuja na stori kama hii yako hapa.

Something is amiss.
 
nenda kwenye kituo cha television wamuoneshe huyo mtoto atajulikana tu ni wa nani...
 
mmh... Dar es salaam ina vimbwanga vingi! sijaelewa hasa sababu ya msingi ya huyo mama kufanya dumping ya mtoto ni ipi!

nimesema dumping kwa sababu naona kama amemtupa tu!! kwa sababu angelikuwa ni mtoto wake aliyemtaka kwa uchungu, basi asingeliweza kufanya kitendo dhalilifu kama hiki!

baada ya iaka 20 utasikia anasimulia story za kumsaka mwanae!!.. tena eti atadai anajuta kufanya hivyo jamani!

ngono nzembe ina mambo!
 
Something is amiss.

Indeed. The story has several loose ends that need to be tied up.

You just don't assume responsibilities just like that. It takes a whole lot to raise a child and this dude supposedly is going to take up that responsibility without hesitation or reservations on a child he barely knows?

Really? Things that make you go hmmmm.....:confused2:
 
Kaka mtunze huwezi jua labda mungu ndio kakupa mtoto kwa njia hyo,rejea mario baloteri.
 
That's very good! For sure you deserve to be called a good boy! May God bless you abundantly! Ila msisahau kwenda kupima afya ya huyo mtoto as soon as possible!


Nimekaacha kwa wazazi wangu, nakatafutia dada wa kukalea(yaya), mama amesisitiza kakae nyumbani umri wake usogee kwanza ndio kahamie kwangu
 
Hakuna cha pole, mola mwema sana. Ninamsifu sana huyo mama kwakufanya hivyo badala ya kukanyonga au kukatupilia mbali. Mtunze mungu atakutunza

zawadi ya mwaka mpya? Pole sana.
 
  • Thanks
Reactions: SMU
Hmm...this is weird! Yaani unakubali tu kuchukua jukumu/ uamuzi wa kumlea mtoto uliyeachiwa kwenye basi na mtu ambaye hata humjui? Je huyo mtu naye akiwa alimuiba huyo mtoto kwingine? Una uhakika gani kama huyo mama aliyekuachia huyo mtoto ndo mama mzazi wa huyo mtoto?

Ingekuwa mimi ningempeleka tu polisi na kumsalimisha huko ili taratibu za kutafuta wazazi au ndugu ziendelee.

Halafu kuna mtu aliwahi kuja na stori kama hii yako hapa.

Si ndio maana akaripoti kwanza polisi! Wakati mwingine ni vizuri kua na huruma na hawa malaika wa Mungu
 
Indeed. The story has several loose ends that need to be tied up.

You just don't assume responsibilities just like that. It takes a whole lot to raise a child and this dude supposedly is going to take up that responsibility without hesitation or reservations on a child he barely knows?

Really? Things that make you go hmmmm.....:confused2:

Being a parent goes further than the material things you can provide. The police are dumb, but has he gone further.... Am surprised that he is confident with the notion that the woman who left the child is its mother. How does he sleep at night? Does he think children come by that easy??
 
Daah! very sad and interesting!
WanaJF mnaonaje tukiassign jina la huyo mchalii?
tutumie chemistry ya kiGREAT THINKER ili kupata jina litakalomfaa huyo mtoto!
for instance;
(1) tuchukue siku ya leo+ ID ya mwanajamvi mwenzetu aliyeachiwa mtoto
(2) kwa kuzingatia scenario ya incidence + frustration alizopata mshkaj b4 haja accept reality!
(3) jina la bus alilopanda + jiji la dsm+ubungo+where he was travelling to?!!
(4) au tukaite zittophobia?! au pembe za ndovu au madawa ya kulevya coz they r all burning issues in our country at this juncture! ili huyo dogo akikua awe champion na balozi mzuri wa nchi yetu kuhusu uzalendo na raslimali za Nchi yetu pendwa!?!
jamani nisaidieni/changieni kumuita jina huyo dogo na ikiwezekana tucontribute kumlea!
JF MEMBERS this one should begin with us!!!
Nawasilisha!
 
duu!!! inaonekana ubungo haya mambo yamekithiri , na mimi the same story lakini nilikataa mapema, ikala kwa mwenzangu , inaonekana jamaa yeye aliaihirisha safari akiamini mama yule yupo.
 
Indeed. The story has several loose ends that need to be tied up.

You just don't assume responsibilities just like that. It takes a whole lot to raise a child and this dude supposedly is going to take up that responsibility without hesitation or reservations on a child he barely knows?

Really? Things that make you go hmmmm.....:confused2:

or some people are simply heaven sent..
 
i totaly support you japokuwa ingekuwa mimi nisingemchukua..
 
Nilikuja dar kikazi kwa takribani siku 4, sasa jana nikawa narudi mkoani kwangu. Wkt nipo Ubungo nimekaa kwenye dar express akaja mama mmoja mtu mzima mweupe amebeba mtoto, akaketi pembeni yangu, nikamsalimia nikapiga kimya.


Akaniomba nimbebee mtoto akajisaidie, nikakubali. Muda ukawa unazidi kwenda yule mama harudi! hadi basi linajaa hajarudi, mara kakaja kadem kamoja kakaketi kwenye ile siti ya yule mama nikapigwa na butwaa! nikamueleza kwamba ile siti ina mtu, akanionyesha tiketi yake ikabidi nimuamini kwamba kweli ile ni siti yake

Wkt basi linataka kuondoka ikabidi nimpe taarifa konda, tukashuka na konda na baadhi ya abiria hadi kituo kdg cha polisi ubungo, polisi hawakuniamini sana, wakadhani nafanya usanii nilipotaka kumuacha pale mtoto, ikabidi nipige copy vitambulisho vyangu na niache mawasiliano yangu niondoke na mtoto.

Wamama ndani ya basi wakawa wanapokezana kukabeba na kukalisha, ni katoto ka kiume, ka-handsome, baba, mama na girlfriend wangu nao hawaniamini, wanadhani ni mwanangu! Dah!
my Dear Brother! wewe siye mzazi wa huyo mtoto, Hivyo usichukuwe Risk, au haki ya kumMiliki .... Tafadhali mrudishe anapo stahiki au kama unamtaka basi upitie taratibu zote sahihi ndipo utoe ombi la kum-Adopt kichanga cute boy !! Lakini kumchukua kinyamela NO NO NO dear its a crime. kama sii human trafficking itakula kwako.! Huruma ni kitukingine na Haki ni maudhui wa kisheria. Mama (mzazi) wa mtoto huyo yupo hai....na ana uchungu naye bado.... si Ajabu kuna sakata la uke wenza au kukomoana huko uraiani au mtoto huyo ameibwa nyumba Fulani. Tafadhali kuwa Muungwana na mfadhili wa kumtafuta BIOLOGICAL mother wake.... kwa sababu za kiutu na kibinaadamuin general hapo kuna Nafsi na roho zaungulika na kusononeka kuhusu upoteaji wa mwana huyo " Imagine kama mtoto huyo ni wa kumzaa alafu House-girl acheze na hisia zako au za mkeo kwa kumtendea mabaya mtoto wako itakuajee???" Plz. kamilisha role yako hadi mwisho!! au beba responsibilities na dhimaa zote juu yako. Kind thanks be fair and real Man. Ubarkiwe.
 
hongera mkuu.....polisi hawana msaada wowote pale jambo kama hilo linatokea ilishawahi nitokea nikaenda polisi wakachukua maelezo kilichofuata nikapewa mtoto maana wao hawana mahali pa kuweza kuwatunza nilikaa na mtoto baada ya mwezi mmoja nilipata simu kutoka kituo cha police wakitaka niende na mtoto nilikwenda nikamkuta baba alikwisha toa maelezo na alikuwa na picha ya mtoto sijui police walivyofanya upelezi wao nikamkabidhi yule mtoto kwa yule baba inasemekana mama na baba waligomba miezi kadha iliyopita mama akaamua kuondoka na mtoto sasa haiieleweki ilikuwaje hadi kumtelekeza labda alishindwa malezi....baada ya kukabidhiana nilikwenda kufahamu kwa yule baba nakawa namtembelea mara kwa mara kwa sasa yupo darasa 6
 
Back
Top Bottom