Nimeachana nae pasipo kumwumiza

Nimeachana nae pasipo kumwumiza

Nitakupa zawadi kama ukimuoa na kukuta ni bikira.
 
hahaha kwan unahsi inaweza kuwa c ya ukweli ama kwanin uonje
Unaweza jikuta ni samaki mdogo kwenye dimbwi kubwa ama vice versa..Pia hujagundua haruc nyingi kama wewe ni mhudhuriaji,bibi haruc anakuwa tiyari kashapachikwa
 
Kununu mbuzi kwenye gunia hapana Lazima nitest mzigo kwanza
 
Hapana kumpigia simaanishi namhitaji kimapenzi nilitaka kujiridhisha tu kama kweli ameamua kwa sasa mimi nina mtu mwingine
Ulitaka kujiridhisha kama kweli kaamua..... Angekuwa hajaamua? Kaka kumbuka kwa mwanaume kuwa ma mtu mwingine haimaanishi uliyenaye unampenda saaana. Inawezekana uko naye kwa sababu huna pa kwenda kwa sababu unayempigia kila wakati ndiye unayempenda. Kaka dalili ya kupenda na pamoja na kutaka kumsikia kila wakati, na ya kutokupenda ni pamoja na kukuboa kila anapotaka kuongea nawe
 
Back
Top Bottom