Nimeachana nae..ila bado naona wivu

Nimeachana nae..ila bado naona wivu

cutelove

JF-Expert Member
Joined
Oct 3, 2017
Posts
3,586
Reaction score
8,386
Habari wanajamvi

Mwezi uliopita tulikwazana na aliyekuwa mpenzi wangu...hadi kufikia hatua ya kuvunja mahusiano kwa tabia zake

Siku za hivi karibuni...nimekutana nae akiwa na mwanamke mwingine...wakitanua...

Sio siri moyo wangu ulilipuka na kuumia sana....usiku wa siku hiyo...sikulala nilisongwa na mawazo... Nikifikiria zile mechi ambazo tulikuwa tunacheza....ndo watakuwa wanazicheza

Nimeachana nae...ila najikuta namuwaza na kuhisi wivu

Nifanyeje nimsahau..na nisione wivu..nimuonapo akiwa na mpenzi wake mwingine?
 
Habari wanajamvi

Mwezi uliopita tulikwazana na aliyekuwa mpenzi wangu...hadi kufikia hatua ya kuvunja mahusiano kwa tabia zake

Siku za hivi karibuni...nimekutana nae akiwa na mwanamke mwingine...wakitanua...

Sio siri moyo wangu ulilipuka na kuumia sana....usiku wa siku hiyo...sikulala nilisongwa na mawazo... Nikifikiria zile mechi ambazo tulikuwa tunacheza....ndo watakuwa wanazicheza

Nimeachana nae...ila najikuta namuwaza na kuhisi wivu

Nifanyeje nimsahau..na nisione wivu..nimuonapo akiwa na mpenzi wake mwingine?
Tafuta fundi zaidi yake, utamsahau tuu.
 
Hahahhaha nyie dawa yenu huwa niiyo tu " Kukunjwa kisawasawa katika mechi" utaachana namtu lkn kumsahau sasa kaaaaaazi kwelikweli .

Pole Cutelove, tulia tu kwasasa, Wala usije ukatafuta Naww mtu wakukupigisha mechi nzito nzito ,utajikuta umehama bucha kibao lkn bado .

Tulia, huenda akajikuta huko aliko hakuna maana na Akarudi kwako, nahata asiporudi, Utakua umejipa muda wakujenga Hisia nzito zaidi namtu mwingine ..nakwasababu ya hisia izo, hata siku mkinjunjana Utajikuta unaikubal Show yake kisawasawa.

Funzo la uzi wako....

wakati fulan kumbe mwanamke anamkumbuka mwanamme wake Pale tu anapoanza kukumbuka alivyokua anakunjwa.

Hivo basi, wana Wakunjeni madem wenu hata asikae anakusahau.
 
Kubali tu sio wako tena

Hakuna kitu kinauma kama kuachana na mtu ambae moyo wako bado ulihitaji kua nae na ushajiweka ukajua unafanya naye future inauma lakini ikifikia mahali ukaona hiyo ndo njia sahihi huna namna

Halaf utakua umejifunza kuyamaliza kabla hamjalala mkikorofishana

Kufanya haraka kupata suluhu kwa ajili ya uhai wa gurudumu la mahusiano yenu

Pole hili nalo litapita mwache atambe na mpya we kubali kuumia sasa ili baadae usiumie tena wala kulia tena
 
Habari wanajamvi

Mwezi uliopita tulikwazana na aliyekuwa mpenzi wangu...hadi kufikia hatua ya kuvunja mahusiano kwa tabia zake

Siku za hivi karibuni...nimekutana nae akiwa na mwanamke mwingine...wakitanua...

Sio siri moyo wangu ulilipuka na kuumia sana....usiku wa siku hiyo...sikulala nilisongwa na mawazo... Nikifikiria zile mechi ambazo tulikuwa tunacheza....ndo watakuwa wanazicheza

Nimeachana nae...ila najikuta namuwaza na kuhisi wivu

Nifanyeje nimsahau..na nisione wivu..nimuonapo akiwa na mpenzi wake mwingine?
Nipe namba yako ya simu nikufundishe mambinu
 
Back
Top Bottom