Unaskiaga hz kuta znaficha mengi sanahiyo ni hatari naamini katika nguvu ya kukaa chini na kujadili tofauti zinazojitokeza kuliko kupuuza wakae chini wayaongee kils mtu ateme nyongo yake maisha yaendelee wawe wapya asee miaka nane mhhhhhh hapa wanaishi kimazoea tu maskin ndoa hiz
Not all the time. wako wasomi wametuliaMwanasheria atakutesa msomi mwenzio,huyo utapata taabu saana,oa 2wapili hyo
hata la kusema nimekosa wanawakesisi mtihan sana wallahMzee anakwambia yupo pale sababu tu ya watoto wake ambao bado wapo shule wanasoma vinginevyo sijui angekuwa Wapi. Na ukiangalia ni kweli maana kila wanae wakija likizo baba yao huwa ana amani sana issue shule zikifunguliwa kama hivi wanabaki yy na mkewe tu ni horrible kbs!
Kwa maelezo yake ameshafanya kila awezalo kuwekana sawa lkn holaaa. Yule mama hataki ukubwa, anajiona bado msichana mbiiiichiiii( hata namna anavyovaa na kubehave) ni shida
Muoe unayempenda.Habarini ndugu zangu mimi ni kijana wa miaka 25 nimemaliza elimu yangu ya chuo kikuu na nina ajira kwenye kampuni
nipo kwenye mpango wa kuoa lakini napata shida ya mwanamke yupi kati ya hawa wawili nimtambulishe nyumbani nisaidieni: wana sifa hizi
1- huyu amesoma na ni mwanasheria kwa sasa lakini ana nidhamu mara nyingi tunakorofishana kwa mambo madogo inafikia kipindi atuongei wiki lakini tunarudiana uzuri wake ni mmoja hua namfurahia sana kwenye tendo pia ananisaidiaga nikikwama kibiashara
2:huyu ajasoma sana elimu yake ni kidato cha nne na akubahatika kuendelea na masomo lakini ana nidhamu sana ananisikiliza na kunipa mawazo chanya ya kuwaza maisha na wazazi wangu pia ni mcha Mungu sana , ila kibaya simfurahii sana tunapokua kwenye tendo ila nampenda kwa upole wake na unyenyekevu
NIFANYAJE MIMI?
Kwanini ?KUOA MIAKA 25!
usithubutu!
Oa wote maana kwa maelezo yako wote wana nidhamu.Habarini ndugu zangu mimi ni kijana wa miaka 25 nimemaliza elimu yangu ya chuo kikuu na nina ajira kwenye kampuni
nipo kwenye mpango wa kuoa lakini napata shida ya mwanamke yupi kati ya hawa wawili nimtambulishe nyumbani nisaidieni: wana sifa hizi
1- huyu amesoma na ni mwanasheria kwa sasa lakini ana nidhamu mara nyingi tunakorofishana kwa mambo madogo inafikia kipindi atuongei wiki lakini tunarudiana uzuri wake ni mmoja hua namfurahia sana kwenye tendo pia ananisaidiaga nikikwama kibiashara
2:huyu ajasoma sana elimu yake ni kidato cha nne na akubahatika kuendelea na masomo lakini ana nidhamu sana ananisikiliza na kunipa mawazo chanya ya kuwaza maisha na wazazi wangu pia ni mcha Mungu sana , ila kibaya simfurahii sana tunapokua kwenye tendo ila nampenda kwa upole wake na unyenyekevu
NIFANYAJE MIMI?